the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Lisu ni mbeligijiWakuu naona Godbless Lema ameshaamua kuwapongeza wagombea wake mapema akiamini wameshashinda.
Hongereni sana kwa ushindi mkubwa ambao wajumbe wamewapa leo. Sasa mkafanye kazi na mkaheshimu imani mliyopewa na wanachama na wajumbe wa mkutano mkuu. Nimefurahi sana mmeshinda. Retweet this message siku ya Jumatano. Mimi nitakuwa busy na furaha siku hiyo. - Godbless Lema
View attachment 3206280
Hatumpi chama mbeligijiWakuu naona Godbless Lema ameshaamua kuwapongeza wagombea wake mapema akiamini wameshashinda.
Hongereni sana kwa ushindi mkubwa ambao wajumbe wamewapa leo. Sasa mkafanye kazi na mkaheshimu imani mliyopewa na wanachama na wajumbe wa mkutano mkuu. Nimefurahi sana mmeshinda. Retweet this message siku ya Jumatano. Mimi nitakuwa busy na furaha siku hiyo. - Godbless Lema
View attachment 3206280
Aliacha cdm mapemaaaaaaWakuu naona Godbless Lema ameshaamua kuwapongeza wagombea wake mapema akiamini wameshashinda.
Hongereni sana kwa ushindi mkubwa ambao wajumbe wamewapa leo. Sasa mkafanye kazi na mkaheshimu imani mliyopewa na wanachama na wajumbe wa mkutano mkuu. Nimefurahi sana mmeshinda. Retweet this message siku ya Jumatano. Mimi nitakuwa busy na furaha siku hiyo. - Godbless Lema
View attachment 3206280
Una passport yake?Lisu ni mbeligiji
Busara ni nini?.Lema,Lissu,Heche wote hao kwa mihemuko walio nayo kama Magufuli wanatakiwa wawe chini ya mtu mwenye busara atakaye kuwa ana wafunga gavana kwa nchi yetu hii na kwa katiba hii bila hivyo lock up itakuwa ni nyumbani kwao pamoja na wafuasi wao wasiokuwa na busara.
Ni ngumu kuamini mihemuko,hakika panahitaji hekima mnoLema,Lissu,Heche wote hao kwa mihemuko walio nayo kama Magufuli wanatakiwa wawe chini ya mtu mwenye busara atakaye kuwa ana wafunga gavana kwa nchi yetu hii na kwa katiba hii bila hivyo lock up itakuwa ni nyumbani kwao pamoja na wafuasi wao wasiokuwa na busara.
Ni hekima na maarifa.Busara ni nini?.
jiandaeni kujibu hojaLema,Lissu,Heche wote hao kwa mihemuko walio nayo kama Magufuli wanatakiwa wawe chini ya mtu mwenye busara atakaye kuwa ana wafunga gavana kwa nchi yetu hii na kwa katiba hii bila hivyo lock up itakuwa ni nyumbani kwao pamoja na wafuasi wao wasiokuwa na busara.
Hoja zipi,hizihizi za Heche anayesema kuwa Samia hawezi kushinda kwa kuwa ni mwanamke na ni mzanzibar au hizi za Lema za kuwapongeza watu kushinda kabla ya uchaguzi?.jiandaeni kujibu hoja
kama humpendi LISu ba mheshimu ,yule hajawahi shindwa jambo Toka akiwa darasa la tatuHoja zipi,hizihizi za Heche anayesema kuwa Samia hawezi kushinda kwa kuwa ni mwanamke na ni mzanzibar au hizi za Lema za kuwapongeza watu kushinda kabla ya uchaguzi?.
Mbowe hana mvuto tena
Suala siyo kumpenda na siwezi kumchukia kwa sababu ni kimchukia sipati faida yoyote,tatizo langu liko kwenye upapala wake na mihemuko yake.kama humpendi LISu ba mheshimu ,yule hajawahi shindwa jambo Toka akiwa darasa la tatu
upapla wapi ,serikali mpaka Leo haijawahi jibu hojazake ,sibungeni Wala kitaaSuala siyo kumpenda na siwezi kumchukia kwa sababu ni kimchukia sipati faida yoyote,tatizo langu liko kwenye upapala wake na mihemuko yake.