Lema: Bavicha kesho mnafanya Uchaguzi wa viongozi wenu huku Soka na wenzake hawajulikani walipo. Msiweke Bei kwenye Utu wenu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni Wosia wa Msingi sana kutoka kwa mwenyekiti mstaafu wa Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ukurasani X

Inahuzunisha sana Tajiri wa Chadema kutaka kuwahonga Damu changa ya Chadema 🐼

Mungu wa mbinguni mbariki Godbless Lema na Wote Wenye Uadilifu Ndani ya Chadema
 
Eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…