LGE2024 Lema: CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini na kuondoa hadhi yetu

LGE2024 Lema: CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini na kuondoa hadhi yetu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini
Hilo linafahamika na niliwahi kuwaambia hapa jukwaani, na hasa walilenga pale ambapo chadema wangesusa uchaguzi,act wazalendo ndo wangepewa kabisa mitaa kadhaa na vijiji rasmi bila kupingwa ili ijijenge vizuri na kuhafifisha chadema
 
Hao ACT wanajulikana hawana tofauti na TLP ni kwa vile tu bado wanamkumbuka Maalum Seif Sharifu Hamad
 
Wakiwa threat na wao,watahujumiwa waje CHAUMA, ni mwendo wa kuzunguka tuu....
 
NILIJUA HILO.NI MPANGO WA CCM KUIZORETESHA UPINZAN
 
Wakiwa threat na wao,watahujumiwa waje CHAUMA, ni mwendo wa kuzunguka tuu....
Ndio kitachofanyika,
Mwakani ACT wanapewa majimbo mengi ,zaidi ya chadema,
Then wanapewa vijiji vingi zaidi,

Sema as times goes nao watakuwa mwiba sana kwa serikali na wao watageukwa,
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Chadema walishakosa hiyo hadhi kitambo sana hawana la maana hata mitaani lema asijipe hadhi asiyenayo

USSR
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kwani lema ndo anajua leo?
 
Ccm inajidanganya, tena kwa hili ambapo tiyari wameisha vuruga uchaguzi ndo basi tena ,leo dunia nzima ukiuliza vyama siasa tz ni ccm na Chadema , vilabu vya mpira utazungumza simba , yanga , Adam, so mikakati iyo nikuzidi jivua nguo
 
Kwamba kuna hadhi ya kuwa chama kikuu cha upinzani?
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Mapambano yote inatafutwa nafasi ya chama kikuu cha upinzani? Mpaka lini?
 
Ndio kitachofanyika,
Mwakani ACT wanapewa majimbo mengi ,zaidi ya chadema,
Then wanapewa vijiji vingi zaidi,

Sema as times goes nao watakuwa mwiba sana kwa serikali na wao watageukwa,
Kama wao ndio wanawachonga ni ngumu kuwa mwiba kwa ccm, kitakachofuata act watakufa kifo cha mende hata wakiwa na ruzuku ya kufa mtu, mbinu zote za ccm toka act inaanzishwa zinajulikana na ndio maana unaona wanauma na kupulizia na utagundua wanapewa airtime nyingi kwa vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom