LGE2024 Lema: CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini na kuondoa hadhi yetu

LGE2024 Lema: CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini na kuondoa hadhi yetu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wiki ya uchaguzi wa Rais na Wabunge, ndio wiki tutapiga mnada mali za Lemma kutokana na madeni ya Benki
 
Ni kweli kabisa hiyo mipango ipo na inaratibiwa vyema na ndugu nyepesi.
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Niliwahi kusema humu nchi hii ina vyama vya siasa viwili tu: CCM na CHADENA vilivyobakia vyote ni CCM B.
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Sasa nyie CHADEMA si mna watu pigeni kazi maana chama ni watu. Sasa CCM wakiwawekea watu na je nani atawapigia kura?
 
Niliwahi kusema humu nchi hii ina vyama vya siasa viwili tu: CCM na CHADENA vilivyobakia vyote ni CCM B.
Chadema hakina hiyo hadhi ,umesahau kuwa kinategemea wagombea wa Urais to CCM(2015)
 
Chadema endeleeni tu kuwa wanaharakati.
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Sasa Kama chama kikuu cha upinzani wanaamua CCM na ACT, hao mamilioni ya wanachama wa Chadema wana mchango gani kwenye chama?
 
Hivi Lema ndio msemaji rasmi wa hiki chama?Mzee Mbowe unaaibisha ,hata kama ni undugu jaribu hata kuuficha jamani🙆‍♂️🙆‍♂️
wanapeleka mambo kihuni wakati dunia imeshajama huko kitambo
 
Ccm inajidanganya, tena kwa hili ambapo tiyari wameisha vuruga uchaguzi ndo basi tena ,leo dunia nzima ukiuliza vyama siasa tz ni ccm na Chadema , vilabu vya mpira utazungumza simba , yanga , Adam, so mikakati iyo nikuzidi jivua nguo
Mkuu Adam mchomvu kaanzisha lini timu yake.
 
Jua Lile Jua Lile litee .....mama ...aiya ...aiyaa mama ❓❓❓
 
Lema akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo Novemba 13 amesema CCM wanakaa vikao na ACT Wazalendo ili kukifanya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini

Lema amesema kuwa CHADEMA imenasa vikao ambavyo CCM wanafanya chama cha siasa ambacho wana ushirika wa karibu wa kuwawekea wagombea ili wagombea wao ionekane wameshinda wengi ili baada ya uchaguzi huu wakitangaze chama hicho kama chama kikubwa cha upinzani.

Lema ameongeza kuwa mpango hiu wameujua hivyo CCM waache mara moja, haiwezekani ACT Wazalendo kuwa na wagombea 3,000 nchini, hawana machinery hiyo, sijui hata kama Arusha wana mtu hata mmoja.

ACT wanasema wana wagombea 50,000 halafu Mchengerwa anasema warudisheni hata kama hawajadhaminiwa na chama. Maana yake wanataka kupitisha vyama vya upinzani kimkakati lakini ni watu wao halafu watangaze chama cha pili ni hiki, cha tatu ni hiki na cha nne ni CHADEMA ili waondoe hadhi yetu ya kuwa chama kikubwa cha upinzani.

PIA SOMA
- LIVE - CHADEMA wanazungumza na Waandishi wa Habari kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kila mtu acheze mechi yake
 
Back
Top Bottom