johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini amesema Wanasiasa wa Upinzani wasilewe Sifa na umaarufu kwani huko nyuma walikuwepo akina Lyatonga Mrema Lakini walipoishia kila mtu anajua
Lema ameuliza " iko wapi TLP Leo hii?"
Sijajua Lema anamlenga Mwanasiasa gani wa Upinzani?!!! 🐼
Jumaa Mubarak 😂
Lema ameuliza " iko wapi TLP Leo hii?"
Sijajua Lema anamlenga Mwanasiasa gani wa Upinzani?!!! 🐼
Jumaa Mubarak 😂