Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Kikwete aliwahi kutamka kuwa ni aheri Mrema awe Rais kuliko Lisu kuingia Bungeni. Hilo aliliongrlea akiifikiria CCM itakavyoelemewa endapo Lisu atapata nafasi ya kuyasemea mabaya ya CCM na Serikali yake.๐
So CDM unaona iko vilevile๐.
In short CCM wanaona ni Bora abaki chairman kuliko hicho chuma kisichopindisha maneno.
Sasa tathmini nani anahitajika kubaki na CCM wanammudu vizuri.
Ya 2015 bado hayajatosha?Bado unazungusha mikono?
Siasa za Lissu ni confrotational haziwezi kudumu..na hivyo mtu anayeamini kwa mrengo huo asipopata wafuasi wanaofanana nae unakuwa ndio mwisho wa chochote anachofanya, kwa maana hiyo hawezi kuwa Mwenyekiti wa chama akafanikiwa sababu hao wafuasi wa kufanana nae sio tu CHADEMA hata kwa nchi nzima ni km hawapo, km wapo ni wachache sana..la pili kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania si tu kujua kuongea na kuwa na elimu..inahitaji kujitoa sana kwa rasilimali zako mwenyewe pale inahitajika, mkionyesha hata chumba cha darasa moja tu alichojenga Lissu jimboni kwake wakati akiwa mbunge..niko tayari kufuta huu uzi..Lissu hana sifa ya kuchangia maendeleo kwa kutoa rasilimali toka mfukoni kwake, na kuwa Mwenyekiti wa chama upinzani ni kuwa MLEZI pia..hii sifa Lissu hana! Conclusion..pengine atafaa siku za usoni Mungu akimjalia afya! lkn si kwa sasa..!
kuna jambo jingine CHADEMA wanapaswa kufahamu na nadhani wanafahamu lkn wanachukulia poa..kuna kundi kubwa sana la vijana ndani ya chama ni mamluki..lengo lao ni kuleta fujo kuvuruga MAAMUZI..chama kijihadhari sana na maamuzi yanashinikizwa na vijana..lugha za jazba, ushabiki km wa ccm, matusi, kejeli na dharau na fujo zingine, mkiwafahamu watu hawa dawa ni kutojali sana wanachosema..bahati mbaya hawa ndio wanamsapoti Lissu agombee uenyekiti taifa, kwangu mimi bora kubaki 5 ndani ya chama kuliko kuwa na kundi la vijana 1,000 wa aina ya waliopo CHADEMA kwa sasa.
Labda akili ya karatasi ndio haiwez kuona proof ya niliyotaja..Imani tu, huna proof yoyote ni sawa na maelezo ya mwamposa na mafuta yake!
UzushiHuu ndio upuuzi unaofanya upinzani uonekana walewale tu. Sasa mtu kutumia haki yake kikatiba inakuwaje kosa tena kwenye chama cha demokrasia
Maneno tu haya hata kwnye kanga yapo! We una litmus ya kupima future ya uongozi wa Lissu? Umejuaje atakua confrontational? Umekariri? Kama uliperceive tabia ya mtu ya jana unaassume itakua kesho pia? Unafikiri alidesa huyu kama mlivyo vijana wa kisasa? Andiko lote lipo kama ramli tuLabda akili ya karatasi ndio haiwez kuona proof ya niliyotaja..
Wakosoaji hawapendi kukosolewaAcha uwoga Lema.
Onesheni demokrasia kwa kuruhusu uchaguzi huru na ushindani ndani ya chama chenu!
Mnadai tume huru na chaguzi huru wenyewe hamtoi huo uhuru!
Kwani nani kazuiwa kugonmbea, sio kama kile chenu kinachojinasibu na kutoa fumu moja Kwa mgombea mmoja TuAcha uwoga Lema.
Onesheni demokrasia kwa kuruhusu uchaguzi huru na ushindani ndani ya chama chenu!
Mnadai tume huru na chaguzi huru wenyewe hamtoi huo uhuru!
Matendo yanasema zaidi kuliko maneno..kuna umri ambao binadamu hawezi kubadilika na hii ni sayansi si mimi..km unakataa, kataa kwa mifano! Lipi ambalo haliendani na Lissu kati ya niliyotaja? Lissu sio confrotational? Lissu ana moyo wa kuchangia vitu vyake kwa ajili ya wengine? Lissu anajua kulea kwa ajili ya kesho? Kosoa kwa mifano.Maneno tu haya hata kwnye kanga yapo! We una litmus ya kupima future ya uongozi wa Lissu? Umejuaje atakua confrontational? Umekariri? Kama uliperceive tabia ya mtu ya jana unaassume itakua kesho pia? Unafikiri alidesa huyu kama mlivyo vijana wa kisasa? Andiko lote lipo kama ramli tu
Una uhakika CHADEMA bado ipo???Hakuna mtu zaidi ya Chama....Kaondoka Dr Slaa CHADEMA ambaye alipata kura nyingi za urais kuliko Lissu lakin CDM bado ipo.
Na NSSR Ipo wapi?Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini amesema Wanasiasa wa Upinzani wasilewe Sifa na umaarufu kwani huko nyuma walikuwepo akina Lyatonga Mrema Lakini walipoishia kila mtu anajua
Lema ameuliza " iko wapi TLP Leo hii?"
Sijajua Lema anamlenga Mwanasiasa gani wa Upinzani?!!! ๐ผ
Jumaa Mubarak ๐
KWANINI HAKUWA RAIS KAMA ALIPATA KURA NYINGI? USHABIKI WA KIPUUZI SANA HUOLissu alipata kura nyingi kuliko hata magufuli jambazi la kura.
Tundu Lissu, Lissu anahisi ni mkubwa kuliko CHADEMAMwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini amesema Wanasiasa wa Upinzani wasilewe Sifa na umaarufu kwani huko nyuma walikuwepo akina Lyatonga Mrema Lakini walipoishia kila mtu anajua
Lema ameuliza " iko wapi TLP Leo hii?"
Sijajua Lema anamlenga Mwanasiasa gani wa Upinzani?!!! ๐ผ
Jumaa Mubarak ๐
Hakuna ubishi hapo ndio maana wachagga wote wameanza kupaaza sauti ,Lema saa nyingi kashatoa povu ,kileo nae .Tundu Lissu, Lissu anahisi ni mkubwa kuliko CHADEMA
tulichelewa saanaMimi sio muumini wa Falsafa, ya siasa na Uongozi wa Lisu.
Lakini katika wakati huu chadema inahitaji mtu wa aina ya Lisu.
Una uhakika CHADEMA bado ipo???