Lema: Kama tulimpa Lowassa kugombea Urais basi Dkt Slaa atarudi

Lema: Kama tulimpa Lowassa kugombea Urais basi Dkt Slaa atarudi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
“Winga ya kulia Lissu, Winga ya kushoto Heche halafu mimi(Godbless Lema) napita katikati halafu wanasema nilisema tutamleta Dkt. Slaa. Kaka tulimpa Lowassa(Hayati Edward Lowassa) Urais mtu wa CCM(Chama Cha Mapinduzi) itakuwa kumrudisha Slaa(Dkt. Wilbroad Slaa).

Yeyote atajayetaka kurudi kwenye chama hiki kwa masharti ya kuwa mpiganaji ya kutubu dhambi tusonge mbele tusumbue CCM karibu. Hiki chama jumatano tukimchagua Lissu Alhamisi kinachangamka. Lissu aliwaambia hivi nitamuogopa nani kama mwilini nina risasi?”

Soma Pia: Ezekiel Wenje: Dkt Slaa alikuwa anataka aifute CHADEMA kwa msajili wa vyama. Leo Lema na Lissu wanataka arudishwe kamati kuu

Maneno ya Godbless Lema aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini akizungumza na wanahabari leo Januari 19, 2025.

 
Ila mwisho wa siku ataapishwa mama Abdul kama rais wa Jamhuri
 
Time ilobaki ni ndogo sana,either ajitoe sasa kuepuka AIBU YA KUSHINDWA VIBAYA,NA ITAINGIA KWENYE RECORD RASMI YA KUNYOFOLEWA AMA AUE/AKIDOGOSHE CHAMA.

Ubishi na u-Alfa na Omega umemponza tu,nje ntiti ndani ntiti
 
Kubondwa chairman haihitaji hata kurudia Kuna yani ni 75% above analiwa
 
artworks-000058502882-3jbg1l-t500x500.jpg

#FREE DR.SLAA
 
“Winga ya kulia Lissu, Winga ya kushoto Heche halafu mimi(Godbless Lema) napita katikati halafu wanasema nilisema tutamleta Dkt. Slaa. Kaka tulimpa Lowassa(Hayati Edward Lowassa) Urais mtu wa CCM(Chama Cha Mapinduzi) itakuwa kumrudisha Slaa(Dkt. Wilbroad Slaa).

Yeyote atajayetaka kurudi kwenye chama hiki kwa masharti ya kuwa mpiganaji ya kutubu dhambi tusonge mbele tusumbue CCM karibu. Hiki chama jumatano tukimchagua Lissu Alhamisi kinachangamka. Lissu aliwaambia hivi nitamuogopa nani kama mwilini nina risasi?”

Soma Pia: Ezekiel Wenje: Dkt Slaa alikuwa anataka aifute CHADEMA kwa msajili wa vyama. Leo Lema na Lissu wanataka arudishwe kamati kuu

Maneno ya Godbless Lema aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini akizungumza na wanahabari leo Januari 19, 2025.
Kiukweli Slaa akirudi basi Chadema itarudi ya kipindi kile... sema wawarudishe na wale Covid19... Wawape majimbo wakapambane tupate bunge lililobalance
 
Back
Top Bottom