ANDENDEKISYE C
Member
- Mar 5, 2012
- 90
- 23
TUJIFUNZE YAFUATAYO:
PENGINE: KATIBA MPYA- Itoe suluhisho,mtu yeyote, au chombo chochote kikitumia vibaya mamlaka yake(kama hawa majaji)-wapelekwe mahakamani na ikithibitika kuwa walifanya kazi nje ya weledi wataaluma zao- WAFUNGWE maisha: HII ITASAIDIA.
TUJADILI
- Kumbe ni kweli watu wengi wanaonewa
- Je inapotokea majaji wametumia vibaya taaaluma zao, je nini kifanyike? Wana-Arusha mjini wamekosa mwakilishi kwa kipindi kirefu sababu tu ya majaji ambao ama hawajui kuchambua sheria au walihongwa au wana sababu ambazo wanajua wenyewe.
- Fedha nyingi zimetumika na Lema, chama chake(chetu),pamoja na fedha kuendesha kesi ambayo mwisho wake tunaona ilikuwa ni makosa
- Muda wa-Tanzania umetumika vibaya, kwani ungeweza kutumika kujadili mambo mengine. Magzaeti yamekuwa yakiandika hili, wakati kurasa hizo zingeweza kutumika kutoa habari nyingine.
- Narudia tena, kama ilivyo kwenye TUME nyingi zinaundwa, mwishowe tunapata report feki, je nini kifanyike inapoonekana fedha za wa-Tz zinatumika vibaya kupitisha maamuzi ya wadhulumaji wa raslimali za nchi
PENGINE: KATIBA MPYA- Itoe suluhisho,mtu yeyote, au chombo chochote kikitumia vibaya mamlaka yake(kama hawa majaji)-wapelekwe mahakamani na ikithibitika kuwa walifanya kazi nje ya weledi wataaluma zao- WAFUNGWE maisha: HII ITASAIDIA.
TUJADILI