Lema Ni tapeli la magari.
Lema ataenda kwa yule Ras Nairobi 😀
Ni mhaho, anahaha!Kamanda amepatwa na nini tena?
Na Konda boy kikubwa awe kwenye system mpe namba yeyote anakichafua...........afadhali ingekuwepo kwenu labda angetolewa kabisa ila kwa sasa moto bado ni uleuleMakonda ni mkuu wa mkoa kama wakuu wa mikoa mingine, mikakati ya CCM kuwe na makonada au nani wakiamua kushinda wao wanashinda tu kwasababu tume inaweza kutangaza hata kama lema amepata 90%
Jibu ni moja tu kuwa mwambie Lema aache kuweweseka na badala yake aachane na hiyo kazi ya utapeli wa magali .maana mwamba mwenyewe na Jabali Paul Christian Makonda anatua hapo Arusha kwa kishindo sana akitokea angani kwa ndege Maalumu. Lema ni aidha aachane na kazi hiyo haramu au ashikishwe adabu.Jisikitikie kwa kukosa akili na hekima. Aheri ungenyimwa vyote ubahatike kuwa na akili japo ile ya kawaida ya kukufanya angalao uonekane ni mwanadamu kamili.
Wazazi wako watakuwa wanajutia. Tuwaonea huruma.
Jibu ni moja tu kuwa mwambie Lema aache kuweweseka na badala yake aachane na hiyo kazi ya utapeli wa magali .maana mwamba mwenyewe na Jabali Paul Christian Makonda anatua hapo Arusha kwa kishindo sana akitokea angani kwa ndege Maalumu. Lema ni aidha aachane na kazi hiyo haramu au ashikishwe adabu.Jisikitikie kwa kukosa akili na hekima. Aheri ungenyimwa vyote ubahatike kuwa na akili japo ile ya kawaida ya kukufanya angalao uonekane ni mwanadamu kamili.
Wazazi wako watakuwa wanajutia. Tuwaonea huruma.
Hivi Tanzania kuna upinzani?Awaachie majimbo ya free, yeye anayatoa wapi!? Hebu peleka uwendawazimu wako huko. Hakuna anayetaka kubebwa hapa, cha msingi chaguzi ziwe huru na maamuzi ya wananchi yaheshimiwe. Hilo TU, na sio lile la GSM kumteua Refa wa mechi ya Simba na Yanga. BTW yule aliyetaka kuua upinzani, aliishia wapi!?
KabisaAache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.
Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Lema hadi leo haamini kuwa hana kazi (sio mbunge)Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa tena
Ili kulinda Demokrasia ya kweli kuna mambo mawili ya Kuzingatia yaani kuwa tayari kulipa gharama yoyote Wakati wote Katika kulinda Heshima na malengo yetu
Amefahamisha Lema ukurasani X
Nawatakieni Pasaka njema 😀
Amemuua nani? Tuwekee uthibitisho.Mwenye akili timamu ni wewe unayeshabikia muuaji Makonda!? By the way, kwani wewe ndiye unamchagua Lema au wananchi!? Wapumbavu wa ccm mnajivua nguo hadharani. Vichaa nyie.
Mimi nadhani huyu Nyumbu lema anastahili apelekwe mahakamani kuthibitishaAmemuua nani? Tuwekee uthibitisho.
😂😂😂Mimi nadhani huyu Nyumbu lema anastahili apelekwe mahakamani kuthibitisha
The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the ...31 Jan 2020
Serikali ya Tanzania imeendelee kuwa kimya licha ya kigogo huyo kuwekwa katika katika listi ya kupigwa marufuku na Marekani, inayomtia doa Paul Makonda kutoweza kusafirisi katika nchi zingine rafiki za Marekani ...
The EastAfrican
https://www.theeastafrican.co.ke › tea
Silence in Tanzania over ban on Makonda
8 Feb 2020 — The government of Tanzania has remained silent over a recent action by US Secretary of State Mike Pompeo banning Paul Makonda, the......
ARUSHA JIJI LENYE BALOZI NDOGO KADHAA kutokana na kuwa makao makuu ya EAC
List of Diplomatic Missions in Arusha Tanzania
60 DIPLOMATIC MISSION LOCATIONS5 CITIES
This list of diplomatic missions in Tanzania is made up of 60 foreign embassies and consulates from 48 countries around the world, which are mainly located in Dar es Salaam, Kigoma, Zanzibar and Arusha
Arusha jiji la kidiplomasia itakuwaje?Makonda amepelekwa Arushwa ili akadhalilike. Hakuna atakachokibadili. Aheri angepelekwa hata Dodoma au Bariadi huko. Lakini Arusha, Dar, Kilimanjaro au Mbeya ataionja tu aibu. Huko atalioia uovu wake.
Kwani Makonda anaamini mahakama!? Kama anaamini, kaanza lini!?Mimi nadhani huyu Nyumbu lema anastahili apelekwe mahakamani kuthibitisha
Wengine hamuamini hadi Leo kuwa zama za jiwe zilishazikwa naye.Lema hadi leo haamini kuwa hana kazi (sio mbunge)
The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the ...31 Jan 2020
Yule mkuu wa malaika aliyesema atauua upinzani, alikuwa anamaanisha upinzani upi!? Kwani wale wabunge wa COVID-19 mnawaolazimisha kuwepo bungeni nyie mnadai ni WA chama Gani Tena!? Hebu nikumbushe kidogo hapo.Hivi Tanzania kuna upinzani?
Akili yako ni ndogo sanaAache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.
Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Mimi nadhani huyu Nyumbu lema anastahili apelekwe mahakamani kuthibitisha