Pre GE2025 Lema: Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya Kuonea tena, tupo tayari kulipa gharama!

Pre GE2025 Lema: Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya Kuonea tena, tupo tayari kulipa gharama!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nauheshimu mchakamchaka wa maneno mengi ya Lema usiyo na matendo yoyote!

Mwacheni aongee ila vitendo ni o"
Mwenye matendo ni yule anayedai kunyang'anywa nyumba na GSM!? Mwambieni akae kwa kutulia, maana hata huo ukuu wa mkoa wanaweza kuuchukua wenyewe.
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa sana

Ili kulinda Demokrasia ya kweli kuna mambo mawili ya Kuzingatia yaani kuwa tayari kulipa gharama yoyote Wakati wote Katika kulinda Heshima na malengo yetu

Amefahamisha Lema ukurasani X

Nawatakieni Pasaka njema 😀
John kwa uchochezi hujambo
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa sana

Ili kulinda Demokrasia ya kweli kuna mambo mawili ya Kuzingatia yaani kuwa tayari kulipa gharama yoyote Wakati wote Katika kulinda Heshima na malengo yetu

Amefahamisha Lema ukurasani X

Nawatakieni Pasaka njema 😀
Lema shida ni kuwa na mdomo mrefu😂😂😂😂😂😂
 
Aache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.

Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Mama awaachie majimbi kadhaa kwani ndio anapiga kura zote nchini? Hiyo hisani mngewapa ACT juzi kwenye chaguzi za marudio maana ndio wanajipendekeza kwa ccm.
 
Makonda Anza na pombe mataputatu na bangi bila kusahau viwanda bubu vya pombe feki apo Arusha
 
Aache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.

Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Akili ya kuzimu hii
 
Aache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.

Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.

Shetani huweza kupata mafanikio kwa muda mfupi ili azidi kupumbazika, lamini kamwe hawezi kupata ushindi wa kudumu.

Maisha hayahitaji hisani ya mtu bali yanapiganiwa, Mungu huweka baraka katika jitihada halali.
 
Lema tayari ameshaanza kuweweseka na kuchanganyikiwa.maana anajuwa ndio mwisho wa kazi yake ya kuwatapeli watu magari. Lakini pia anajuwa ndio mwisho wa ndoto zake za ubunge katika jimbo lolote lile ndani ya mkoa wa Arusha na mahali popote pale katika ardhi ya Tanzania.

Punguani mnatapatapa. Lema yupo sahihi. Muuaji ni shetani, na shetani japo anaweza kuharibu kazi njema ya Mungu, lakini hana nafasi ya ushindi wa kweli.
 
Kwa yale Maandamano Arusha anatakiwa Makonda tu [emoji23][emoji91]

Makonda amepelekwa Arushwa ili akadhalilike. Hakuna atakachokibadili. Aheri angepelekwa hata Dodoma au Bariadi huko. Lakini Arusha, Dar, Kilimanjaro au Mbeya ataionja tu aibu. Huko atalioia uovu wake.
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa tena

Ili kulinda Demokrasia ya kweli kuna mambo mawili ya Kuzingatia yaani kuwa tayari kulipa gharama yoyote Wakati wote Katika kulinda Heshima na malengo yetu

Amefahamisha Lema ukurasani X

Nawatakieni Pasaka njema 😀
Screenshot_2024-02-17-14-44-30-1.png
 
Punguani mnatapatapa. Lema yupo sahihi. Muuaji ni shetani, na shetani japo anaweza kuharibu kazi njema ya Mungu, lakini hana nafasi ya ushindi wa kweli.
Mwambie aache haraka sana utapeli wa magari maana akiendelea atakuwa pabaya
 
Makonda amepelekwa Arushwa ili akadhalilike. Hakuna atakachokibadili. Aheri angepelekwa hata Dodoma au Bariadi huko. Lakini Arusha, Dar, Kilimanjaro au Mbeya ataionja tu aibu. Huko atalioia uovu wake.
Ngoja tuone
 
Aache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.

Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Ebu na wewe ficha upumbavu wako huko lumumba. Huyo samia wako anamiliki majimbo hadi ayagawe bure? Au ndani ya kichwa chako kumejaa kamasi tu? Idiot promax!
 
Back
Top Bottom