BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
lisu anamtaja makonda anajua akipelekwa mahakamani ataseam ndio nimemtaja makonda lakini tanzania kuna makonda wangapi, kama yeye lisu ni mwanasheria nguri amtaje makonda kwa majina yake yote matatu alafu apelekwe mahakamiHakuna anayeweza kuthubutu kumpeleka Mh. Lema au yeyote yule kwa sababu ya kulieleza ukweli hili jambazi liuaji. Mara ngapi Lisu amelitaja wazi na hadharani, umewahi kusikia yeyote akimhoji? Wanajua kuwa wakimhoji, itakuwa ni kulianika wazi hili jambazi uaji mbele ya umma mzima, hata wale ambao walikuwa hawajui.
Hakuna kitu kuachiana kwenye siasa never CCM ni majizi tu kwenye kura Hilo halipingikiAache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.
Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Mbona unapoteza muda kubishana na mpumbavu
Tukienda mbele na tukarudi nyuma, Lema hawezi tena kushinda Arusha. Chadema labda watafute mtu mwingine. Lema hana tena mvuto Arusha.
Kwahiyo wale jamaa ni mbwa?Aache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.
Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Ni kichaaa mmoja anaeshinda kwenye mitandao na ana mdomo mchafu zaidi ya chooHivi lema huwa na Nani huwa Naona humu ndani wanaongea
ThanksNi kichaaa mmoja anaeshinda kwenye mitandao na ana mdomo mchafu zaidi ya choo
Huyo mvuta bangi arudi kwa mke wake asahau habari ya ubunge wa Arusha huyo mshamba wa kimachame. Huyo mpumbavu aliifanya Arusha isitulie kwa siasa za kishamba na za kugawa wananchi. Hana hadhi ya kuwa mbunge wa jiji km Arusha.Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa tena
Ili kulinda Demokrasia ya kweli kuna mambo mawili ya Kuzingatia yaani kuwa tayari kulipa gharama yoyote Wakati wote Katika kulinda Heshima na malengo yetu
Amefahamisha Lema ukurasani X
Nawatakieni Pasaka njema 😀
Fisi tunawaleta chuga wawatafune andaeni maturubai ya kutoshaWe mshamba km hilo jinga la Kolomije, mrudi kwenu kufuga fisi
Akizingua Ntu anazinguliwa,kama kawa kama dawa🤣Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema Muuwaji hawezi kupata nafasi ya kuuwa tena na Muonezi hatapata nafasi ya kuonea tena wala kutesa tena
Ili kulinda Demokrasia ya kweli kuna mambo mawili ya Kuzingatia yaani kuwa tayari kulipa gharama yoyote Wakati wote Katika kulinda Heshima na malengo yetu
Amefahamisha Lema ukurasani X
Nawatakieni Pasaka njema 😀
Natumai lema Kesha toa warning mtakunya bila kuvua nguo safari hii mtaifahamu chuga aseeh!Aache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.
Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.
Ila kwako ni bora kolomije sio🤪Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza ruhusu tapeli kama lema awe mbunge na kwenda Bungeni.
Rafiki yake kachemka anaomba po,shauri yake😁Natumai lema Kesha toa warning mtakunya bila kuvua nguo safari hii mtaifahamu chuga aseeh!
Mbona alikupa mimbaNi kichaaa mmoja anaeshinda kwenye mitandao na ana mdomo mchafu zaidi ya choo
Ww na mama yako wote we.huAache kutapatapa , mama alitaka kuwaachia majimbo kadhaa for free wao wakapandisha mabega na kujidai wanaweza kufight.
Sasa watulia mama ameshaamua mazoea na mbwa ni mabaya.