Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Wivu tuUliambiwa ilani yao ilihusisha kufufua shirika la ndege kwa mtindo huu? Bila feasibility study, bila market survey au strategic plan?
Sasa ndio umeandika nini mkuu..??Ilani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
Really? Go back to my postMTU mwenye uwezo mzuri wa kufikiri,hawezi kuwa mfuasi wa chadema
MTU mwenye uwezo mzuri wa kufikiri,hawezi kuwa mfuasi wa chadema
Makonda alisema; “ninaomba radhi ya
kuchelewa kuhudhuria kongamano hili kwa
wakati, nilikuwa nifuatilia utekelezaji wa
miradi ya maendeleo mkoani kwangu, na
niwaeleze tu katika kuhakikisha miradi ya
maendeleo inatelekezwa, tumepata fedha
Dola za Marekani milioni 120 kwa ajili ya
kukabiliana na changamoto ya mafuriko
Bonde la Msimbazi, tunafumua Daraja la
Jangwani na kulinyanyua kwa mita 300.”
Nini maana ya uwezo mzuri wa kufikiri?!
Umemsikia kukanusha?Huu nao ni upuuzi
Vipimo vya m, cm,mm,ft, inch, km ni changamoto sana kwa jamii ambao sio mafundi au wahandisi
Kama una judge mtu kwa kukosea, una shida mno
Kakuona mjingaUmemsikia kukanusha?
Mkuu vipi ilani ya CCM juu ya Katiba Mpya mbona ni kaa la Moto?Ilani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
Sijui 2020 watakuwa na sera gani hawa wa2!!Ilani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
huyu lema huwaga siyo mbunge ni mwizi fulani tu ambaye hajielewi hata anachokifanyagaIlani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
Tundu Lisu ni mbunge wa jimbo gani?!Nimefanya utafiti wabunge wote wa upinzani ambao wanakijita zaidi kwenye masuala ya kitaifa hawafanyi vizuri kwenye majimbo yao.
Ukianzia Tundu Lisu,Zitto Kabwe,Lema,,Mnyika,Mdee,Heche,Matiko nk
Hiyo ni tathimini ya akiwa mbungeTundu Lisu ni mbunge wa jimbo gani?!
huyu bado hajaamka anaota tundu bado mbungeTundu Lisu ni mbunge wa jimbo gani?!