Lema na wenzako ilani ya CHADEMA mwaka 2015/2020 ukurasa wa 53, mkasome vizuri

Lema na wenzako ilani ya CHADEMA mwaka 2015/2020 ukurasa wa 53, mkasome vizuri

Wanasema sio kama anavyolipa Magufuli cash,sijui wao wangelipa kwa mawe
Mkuu hii haina tofauti na mzazi anaenunua gari na kuliegesha nyuma ya nyumba yake tena ni ya tembe. Wakati huo watoto wanaishi kwa mlo mmoja tena kwa jubahatisha. Shule wanatembea peku. Eti nae baba yule bila huruma a awaambia wale watoto nimeshawaandalia gari mara mtakapomaliza elimu yenu ya msingi basi sekondari hamtatembea tena kwa miguu bali gari hili. Wale watoto pamoja na upeo wao mdogo wanaona wazi baba yao kachanganyikiwa kwani kwa mazingira yale hawana uhakika wa kumaliza elimu ya msingi wakiwa salama na wenye afya njema.

Vipaumbele vya awamu ya tano ndiyo tatizo. Kila jambo na wakati wake. Hebu fikiria kama wa geamua kufufua kiwanda cha General Tyre kwajili ya uzalishaji wa matairi ya magari ni ajira kiasi gani ingezalishwa na faida kiasi gani tena kwa soko la ndani tu ingepatikana?? Je faida ile isingetosha kununua ndege?? Tuwe tunatafakari kabla ya kutenda.
 
Ilani yenu ilimaaanisha nn kufufua shirika la ndege la Tanzania au mlimaanisha ndege za kivita?
Mkuu Ulimsikiliza Lema vizuri? Utalifufuaje Shirika kwa kutumia fedha zetu za ndani tena unanunua kwa CASH? Kuna PPP mkuu sio kila kitu serikali ifanye.
 
Mkuu hii haina tofauti na mzazi anaenunua gari na kuliegesha nyuma ya nyumba yake tena ni ya tembe. Wakati huo watoto wanaishi kwa mlo mmoja tena kwa jubahatisha. Shule wanatembea peku. Eti nae baba yule bila huruma a awaambia wale watoto nimeshawaandalia gari mara mtakapomaliza elimu yenu ya msingi basi sekondari hamtatembea tena kwa miguu bali gari hili. Wale watoto pamoja na upeo wao mdogo wanaona wazi baba yao kachanganyikiwa kwani kwa mazingira yale hawana uhakika wa kumaliza elimu ya msingi wakiwa salama na wenye afya njema.

Vipaumbele vya awamu ya tano ndiyo tatizo. Kila jambo na wakati wake. Hebu fikiria kama wa geamua kufufua kiwanda cha General Tyre kwajili ya uzalishaji wa matairi ya magari ni ajira kiasi gani ingezalishwa na faida kiasi gani tena kwa soko la ndani tu ingepatikana?? Je faida ile isingetosha kununua ndege?? Tuwe tunatafakari kabla ya kutenda.
Hata ilani yenu ilisema kufufua shirika la ndege mngelifufuaje ss
 
Hata ilani yenu ilisema kufufua shirika la ndege mngelifufuaje ss
Soma tena kwa makini bandiko langu kisha utanielewa ninamaanisha nn Mkuu.
Vipaumbele ndiyo tatizo. Kuna wakati wa kuandaa shamba na kuna wakati wa kuotesha na kupalilia na wakati wa kuvuna. Sasa awamu ya tano wanalazimisha kupanda/kuotesha bila maandalizi. Wanahitaji kuvuna wakati wameshakosea kanuni. Hilo ndiyo tatizo.
 
  • Thanks
Reactions: NNP
Soma tena kwa makini bandiko langu kisha utanielewa ninamaanisha nn Mkuu.
Vipaumbele ndiyo tatizo. Kuna wakati wa kuandaa shamba na kuna wakati wa kuotesha na kupalilia na wakati wa kuvuna. Sasa awamu ya tano wanalazimisha kupanda/kuotesha bila maandalizi. Wanahitaji kuvuna wakati wameshakosea kanuni. Hilo ndiyo tatizo.
Kuthubutu ndiyo kila kitu
 
Lema atakuoa,naona anakunyima usingizi.
 
Back
Top Bottom