Lema ni noma anastahili tuzo

Lema ni noma anastahili tuzo

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi!

Mwamba wa Kaskazini Godbless Lema bado anawaacha vinywa wazi wana usalama hadi navyoandika huu uzi aliwezaje kuwatoroka kitaalam pale Mpakani namanga?

Huyu mwamba ni hatarii techniques alizotumia si za kawaida ni military offensive techniques alitumia kama countersugency na hit and run.

Lema ni akili kubwa yani mbinu za medani alizoapply pale border na uhakika baadhi ya wanausalama wameshafukuzwa kazi na kuhamishwa. Siyo hizi mbinu za medani za kuibia watu korosho.

Mwamba alitumia pia camouflage techniques undercover of darkness kwa kuibukia upande wa pili undetected.

Ukiwa kwenye mazingira kama haya akili inatakiwa kutulia sana kwasababu unakabiliana na maadui wa shamba. Hili tuliliona alivyokaa gerezani miezi kadhaa eti wakimkomoa. But he mentained his cool na hatimaye kuibuka kidedea.

Na endapo wangebreach international border law wakamfuata hadi kajiado hapo ndipo ingekuwa kilio angeapply 'scorched earth policy' hii mbinu kwenye military ni hatari yani sasa hivi tungekuwa tunazungumzia mengine.

Mwamba wa Kaskazini anastahili tuzo
IMG_3262.jpg
 
Iyo sasa ni mbinu ya medani jeshini. Coumaflage techniques . Lema nouma yani sheeda. He single handled Tiss siyo mchezo jamaa
Kwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuja kurudi Tanzania bila mke

Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
 
Kwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuna kurudi Tanzania bila mke

Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
Hayo yaliyojaa kichwani mwako yanaakisi ulivyo.
 
Kwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuna kurudi Tanzania bila mke

Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
Wale watoto wa lema siyo wadogo ..ni machali wakubwa kabisa na mke wake ni ngumu kubebwa yeye kazaliwa na kuishi Africa kabiru miaka yote mpk alipoondoka hivyo ni ngumu kuanza tabia mpya
 
Usiwakumbushe watu machungu wakichezea pumbafu jama zote toka kwa meko a k.a ,Jiwe Zanzimana .
 
Wale watoto wa lema siyo wadogo ..ni machali wakubwa kabisa na mke wake ni ngumu kubebwa yeye kazaliwa na kuishi Africa kabiru miaka yote mpk alipoondoka hivyo ni ngumu kuanza tabia mpya
muulizeni mtangazaji mmoja mashuhuri alienda hakurudi na mke wazungu wakabeba
pia yuko dk mmoja alishafariki mke naye walibeba (alisoma zamani na Lowasa)
 
Wale watoto wa lema siyo wadogo ..ni machali wakubwa kabisa na mke wake ni ngumu kubebwa yeye kazaliwa na kuishi Africa kabiru miaka yote mpk alipoondoka hivyo ni ngumu kuanza tabia mpya
Sio wakubwa watoto Canada kunawafaa vijana waliomaliza vyuo vikuu sio watoto saizi ya wa Lema.Kuhusu mke kuzaliwa kijijini sio shida canada itambadilisha mark my words heri angembilia ujerumani hata ubelgiji lakini Canada hapana kubaya mno kwenda na familia muda sio mrefu ataelewa nilichoandika
 
Kwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuna kurudi Tanzania bila mke

Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno

Ulishawahi ishi Canada?
 
Kwani alinyimwa kusafiri? Passport alikuwa nayo ila Canada alikoenda sio nzuri kwa mke na Watoto wanaharibika sana Canada aweza kuja kurudi Tanzania bila mke

Watoto huanzwa kufunzwa mambo ya mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja wakiwa wadogo na kuporwa mke kule kitu kidogo mno
Tazama hili shetani linavyopenda mambo ya Mombasa!
 
Back
Top Bottom