Pre GE2025 Lema: Nikigundua kwamba Kumuunga mkono Lissu imewakwaza nitakuwa mwanaharakati huru na sitaweza kuwa mwana CCM

Pre GE2025 Lema: Nikigundua kwamba Kumuunga mkono Lissu imewakwaza nitakuwa mwanaharakati huru na sitaweza kuwa mwana CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Wajameni!

Lema leo ametema cheche zake katika kuelekea uchaguzi wa CHADEMA taifa. Na ameonyesha kummunga mkono Tundu Lissu
====================

Na nikigundua kwamba mimi kuwa mwanachama wa chama hiki CHADEMA kwa maamuzi haya (kumuunga mkono Lissu) ambayo ni ya kidemokrasia sana yatawakwaza nitakuwa mwanaharakati huru nitasema sina chama lakini kamwe sitaweza kuwa mwana CCM.

"Maria Sarungi sio mjumbe wa kamati kuu Fatma Karume sio mjumbe wa kamati kuu Madeleka sio mjumbe wa kamati kuu hatusemi kwa sababu tuna jina tunasema kwa sababu kuna hitaji la kusema."

Godbless Lema akizungumza na wanahabari leo Januari 14 Dar Es Salaam.
 
Back
Top Bottom