Hahahaha Lengo ilikua ni kumtishia nyau Mbowe ajitoe…. Jamaa hawajiamini kabisa katika boksi la kura 😂😂Heshima kwenu wanajamvi.
Lema kafanya press conference 3 ndani ya week hoja zake ni zile zile hana jipya.
Uhuni wa Lema ni pale alipowaburuza wenyeviti wa mikoa wasiozidi wanne na kuwachanganya na wahuni wa Mbarahati na kudai ni Wenyeviti wa Mikoa 25.
Tunajua Lema amevuta mpunga mrefu kwaajili ya shughuli hiyo ya kihuni.Baada ya uchaguzi sijui kama watakaa meza moja na Lissu.
Ngongo kwasasa Mlimani City.
MboweSasa CHADEMA ambae siyo muhuni na mvuta mpunga ni nani ?
Rushwa aliokula Mbowe itamtokea puani. Ameamua kumaliza maisha yake ya kisiasa kwa ukiwa na aibu kuu.Heshima kwenu wanajamvi.
Lema kafanya press conference 3 ndani ya week hoja zake ni zile zile hana jipya.
Uhuni wa Lema ni pale alipowaburuza wenyeviti wa mikoa wasiozidi wanne na kuwachanganya na wahuni wa Mbarahati na kudai ni Wenyeviti wa Mikoa 25.
Tunajua Lema amevuta mpunga mrefu kwaajili ya shughuli hiyo ya kihuni.Baada ya uchaguzi sijui kama watakaa meza moja na Lissu.
Ngongo kwasasa Mlimani City.
Si tumekubaliana kuwa Lissu na timu yake ni wabangaizaji na malofa hawana hela?Team Lissu.
Team lissu hawana hela za kuhonga, hizo pesa za abdul via mwamba...muulizeni vzr huko!!Team Lissu.
Eti ,ss Hela wametoa wapi tena ?Si tumekubaliana kuwa Lissu na timu yake ni wabangaizaji na malofa hawana hela?