Lema tena: Asema wanawake wa Tanzania hawajui kupika

Lema tena: Asema wanawake wa Tanzania hawajui kupika

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Mheshimiwa akiwa anaongea na madreva tours waliomtembelea nyumbani kwake pale njiro jijini Arusha ametoa maoni yake, kasema kua wanawake wa Tanzania hawajui kupika chakula chochote zaidi wanaloweka tu.

Kasema toka aingie nchini canada anapikiwa chakula chenye viwango vya kimataifa ambapo ni ngumu kwa akina mama wa tanzania kuweza kupika chakula cha aina hiyo, lakini kubwa alilogusia ni mazingira machafu ambapo vyakula huandaliwa ndio maana magonjwa ya tumbo hayaishi.

Mheshimiwa amewaasa akinamama wa nchi hii walau kwenda vyuoni kujifunza kupika na sio kuloweka vyakula ndio maana matatizo kiafya ni makubwa sana.
 
Mheshimiwa akiwa anaongea na madreva tours waliomtembelea nyumbani kwake pale njiro jijini Arusha ametoa maoni yake,
Huyu mshamba kweli, yote kwenda ukimbizini Canada, tutanangwa mpaka, kaacha bodaboda, ampeleke mkewe chuo Cha mapishi, mkewe ndio hajui kupika.
 
Lema yuko sahihi kwa kiwango kikubwa
Mheshimiwa akiwa anaongea na madreva tours waliomtembelea nyumbani kwake pale njiro jijini Arusha ametoa maoni yake,
Kasema kua wanawake wa Tanzania hawajui kupika chakula chochote zaidi wanaloweka tu.
Kasema toka aingie nchini canada anapikiwa chakula chenye viwango vya kimataifa ambapo ni ngumu kwa akina mama wa tanzania kuweza kupika chakula cha aina hiyo.
Lakini kubwa alilogusia ni mazingira machafu ambapo vyakula huandaliwa ndio maana magonjwa ya tumbo hayaishi,
Mheshimiwa amewaasa akinamama wa nchi hii walau kwenda vyuoni kujifunza kupika na sio kuloweka vyakula ndio maana matatizo kiafya ni makubwa sana.
 
Tutasikia mengi mwaka huu.

IMG_4156.jpg
 
Labda mke wake hajui kupika, wengine wake zetu wanajua kupika vyakula vitamu sana na hatupati magonjwa
 
Mheshimiwa akiwa anaongea na madreva tours waliomtembelea nyumbani kwake pale njiro jijini Arusha ametoa maoni yake,
Kasema kua wanawake wa Tanzania hawajui kupika chakula chochote zaidi wanaloweka tu.
Kasema toka aingie nchini canada anapikiwa chakula chenye viwango vya kimataifa ambapo ni ngumu kwa akina mama wa tanzania kuweza kupika chakula cha aina hiyo.
Lakini kubwa alilogusia ni mazingira machafu ambapo vyakula huandaliwa ndio maana magonjwa ya tumbo hayaishi,
Mheshimiwa amewaasa akinamama wa nchi hii walau kwenda vyuoni kujifunza kupika na sio kuloweka vyakula ndio maana matatizo kiafya ni makubwa sana.
Hizi Kauli za Lema Zinamtia Aibu Sometimes, Ni Bora Akakaa Kimya Kama Hana cha Kusema.
 
Ni huko kwao 😂😂kwa hawajui kupika nilikuta mapombe yanaandaliwa kienyeji mavitu sijui ndizi zimeoza wanachanganya then wamtengeneza kama wanachuja yanatoka maji meusi ynanuka then wanakunywa 😂.

.Niliwaambia mimi hapana eti "ooh watu wa pwani mnajikuta wasafi sana "
 
Mheshimiwa akiwa anaongea na madreva tours waliomtembelea nyumbani kwake pale njiro jijini Arusha ametoa maoni yake, kasema kua wanawake wa Tanzania hawajui kupika chakula chochote zaidi wanaloweka tu.

Kasema toka aingie nchini canada anapikiwa chakula chenye viwango vya kimataifa ambapo ni ngumu kwa akina mama wa tanzania kuweza kupika chakula cha aina hiyo, lakini kubwa alilogusia ni mazingira machafu ambapo vyakula huandaliwa ndio maana magonjwa ya tumbo hayaishi.

Mheshimiwa amewaasa akinamama wa nchi hii walau kwenda vyuoni kujifunza kupika na sio kuloweka vyakula ndio maana matatizo kiafya ni makubwa sana.
Weka source.
 
Back
Top Bottom