Lema tena: Asema wanawake wa Tanzania hawajui kupika

Lema tena: Asema wanawake wa Tanzania hawajui kupika

U-great thinker wa jf kwa sasa siuoni. Watu hawajibu au kushindana kwa hoja iliyoenda shule bali ni kutoa matusi na kejeli kwa wenzao pasipo sababu za msingi. Au labda tuseme ndio mmomonyoko wa maadili kwa vijana wa sasa. Kwa kweli ni kichefu chefu mtu kujiona una akili nyingi kuliko wote humu, na kuanza kudhihaki, kutusi, na kujimwambafai angali hoja iliyoko mezani ni ya kistaarabu.

NB: Kwa hoja za hovyo ni bora zijibiwe hovyo pia na zile za kistaarabu zijibiwe kistaarabu. Mfano mleta mada kaleta mada isiyo na ushahidi unaojitosheleza (hakuna supporting evidence). Hapa kujibiwa hovyo na wakereketwa wa mhusika ni 💯%. Lakini wakati mwingine hata watu km hawa tuwape elimu ya kustaarabika na kuposti vitu pasipo mihemko. Kinyume chake watajikuta wanashushiwa heshima na wananzengo.

Hata wale wanaotukana wasidhani wengine hawajui matusi. Kuna watu tumekulia uswahili matusi km yote sema tu umri, busara, na exposure ya kwenda darasani vinatutengamisha na hao wengine.
 
Namfananisha na ndugu zetu wa mkoani wakienda dar mwezi tu,wakirud wameshasahau kilugha,lafudhi ya kizaramo[emoji38]
 
Mheshimiwa akiwa anaongea na madreva tours waliomtembelea nyumbani kwake pale njiro jijini Arusha ametoa maoni yake, kasema kua wanawake wa Tanzania hawajui kupika chakula chochote zaidi wanaloweka tu.

Kasema toka aingie nchini canada anapikiwa chakula chenye viwango vya kimataifa ambapo ni ngumu kwa akina mama wa tanzania kuweza kupika chakula cha aina hiyo, lakini kubwa alilogusia ni mazingira machafu ambapo vyakula huandaliwa ndio maana magonjwa ya tumbo hayaishi.

Mheshimiwa amewaasa akinamama wa nchi hii walau kwenda vyuoni kujifunza kupika na sio kuloweka vyakula ndio maana matatizo kiafya ni makubwa sana.
Akiwemo mke wake maana naye ni mtanzania
 
Aseme wanawake wa Arusha, kwani keshatembelea nchi nzima. Aje kwetu Pwani aonje aone kama hajahamia
 
Back
Top Bottom