BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
U-great thinker wa jf kwa sasa siuoni. Watu hawajibu au kushindana kwa hoja iliyoenda shule bali ni kutoa matusi na kejeli kwa wenzao pasipo sababu za msingi. Au labda tuseme ndio mmomonyoko wa maadili kwa vijana wa sasa. Kwa kweli ni kichefu chefu mtu kujiona una akili nyingi kuliko wote humu, na kuanza kudhihaki, kutusi, na kujimwambafai angali hoja iliyoko mezani ni ya kistaarabu.
NB: Kwa hoja za hovyo ni bora zijibiwe hovyo pia na zile za kistaarabu zijibiwe kistaarabu. Mfano mleta mada kaleta mada isiyo na ushahidi unaojitosheleza (hakuna supporting evidence). Hapa kujibiwa hovyo na wakereketwa wa mhusika ni 💯%. Lakini wakati mwingine hata watu km hawa tuwape elimu ya kustaarabika na kuposti vitu pasipo mihemko. Kinyume chake watajikuta wanashushiwa heshima na wananzengo.
Hata wale wanaotukana wasidhani wengine hawajui matusi. Kuna watu tumekulia uswahili matusi km yote sema tu umri, busara, na exposure ya kwenda darasani vinatutengamisha na hao wengine.
NB: Kwa hoja za hovyo ni bora zijibiwe hovyo pia na zile za kistaarabu zijibiwe kistaarabu. Mfano mleta mada kaleta mada isiyo na ushahidi unaojitosheleza (hakuna supporting evidence). Hapa kujibiwa hovyo na wakereketwa wa mhusika ni 💯%. Lakini wakati mwingine hata watu km hawa tuwape elimu ya kustaarabika na kuposti vitu pasipo mihemko. Kinyume chake watajikuta wanashushiwa heshima na wananzengo.
Hata wale wanaotukana wasidhani wengine hawajui matusi. Kuna watu tumekulia uswahili matusi km yote sema tu umri, busara, na exposure ya kwenda darasani vinatutengamisha na hao wengine.