Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Mipango ya chadema ni ya kitapeli tapeli tu, hiyo fedha ya kijigitali zimejaa matapeli, sasa hivi watu wanalia na pi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka akusanye hela azipeleke crypto. Azipige halafu asingizie hackers!1) Security Risks....mawindo ya hackers!
Kwa hiyo mama yetu anafanya launderingi kwa crypto zake? Na mawaziri vijana kadhaa wenye crypto walizolipwa toka nje?awe muwazi tu kwamba wapo tayari kutapeli wananchi kidigitali na kujaribu kufanya money laundring kisayansi,
nadhani wakienda kufanyia Burundi itapendeza zaidi ikiwa wataruhusiwa 🐒
Asante msemaji wa benki kuu.Hahitaji ruhusa kutumia crypto Mwambieni Lema, nobody owns cryptocurrency
Jielimishe kijana! Acha kupoteza muda kwenye porn tuAsante msemaji wa benki kuu.
....ndio malengo yake hayo,mpango ndio huo.....Anataka akusanye hela azipeleke crypto. Azipige halafu asingizie hackers!
===
Fedha zikusanywe kupitia account za Chama ambazo ni Rahisi kuwa monitored na BoT na CAG. Ujanjaujanja hatutaki!
![]()
FBI accuses North Korea of largest crypto hack in history
North Korea is responsible for a $1.5 billion hack of the Bybit cryptocurrency exchange, the FBI has saidwww.rt.com
Utapeli haswa mkuu wangu.....nyumbu wanaburuzwa tu.... .Mipango ya chadema ni ya kitapeli tapeli tu, hiyo fedha ya kijigitali zimejaa matapeli, sasa hivi watu wanalia na pi