Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari

Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambapo pamoja na zawadi nyingine amesema wanaweza kumtafutia Land Cruiser 200.

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) Lema ameandika “Mwenyekiti Msatafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Freeman Mbowe alifanya kazi kubwa za ujenzi wa Chama na mageuzi, nitamshauri Mwenyekiti Lissu kuwa ni jambo la maana kuaanda mkakati maalumu wa kuheshimu commitment yake na kumuaga vizuri na rasmi katika siku itakayopangwa na kuamuliwa”

“Tunaweza mtafutia Land Cruiser 200 Series na some other stuff kuonesha commitment yetu katika kujali na kuheshimu wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana wakati wa kampeni, this is possible”

Baada ya kuulizwa kwanini alifuta post hiyo alisema anapaswa kuliweka jambo hilo katika vikao kwanza;

IMG_20250126_171728_732.jpg
 
Mbona Kiswahili hakiheshimiwi, wajameni? Kiswahili hatumo, Inglishi tunaboronga. Taifa linaelekea wapi eti?

Alipochomekea hilo neno la Inglishi, ndipo akaharibu kabisa:

^wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana^

Kwa kupachika neno hili, GL anamaanisha kwamba FAM ndiye hasa msababishi wa tofauti zilizoonekana na wanaelekea kumtuza kutokana na jambo hilo.

Isijekuwa mwenyekiti mstaafu anatukanwa kinamna kwa heshima!

Kama kweli hao ni waungwana, basi walimaanisha regardless!
 
T
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambapo pamoja na zawadi nyingine amesema wanaweza kumtafutia Land Cruiser 200.

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) Lema ameandika “Mwenyekiti Msatafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Freeman Mbowe alifanya kazi kubwa za ujenzi wa Chama na mageuzi, nitamshauri Mwenyekiti Lissu kuwa ni jambo la maana kuaanda mkakati maalumu wa kuheshimu commitment yake na kumuaga vizuri na rasmi katika siku itakayopangwa na kuamuliwa”

“Tunaweza mtafutia Land Cruiser 200 Series na some other stuff kuonesha commitment yetu katika kujali na kuheshimu wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana wakati wa kampeni, this is possible”
TUtawapoza poza Team Mbowe kwa namna hii
 
Huko ni kutaka kujikosha, Chama kinahitaji hela kuendesha siasa, ruzuku imekaribia kuisha muda wake wa kupokea. Yeye anataka watu waanze michango kwa mtu binafsi badala ya kuhamasisha michango kwa chama
Kwa upande mwingine, huenda ikawa ni mkakati makhususi wa kumvutia huyo mwekezaji na mfadhili wa muda kitambo ambaye bila shaka bado moyo ni mzito na maumivu ni makali kufuatia kushindwa uchaguzi.
 
Huko ni kutaka kujikosha, Chama kinahitaji hela kuendesha siasa, ruzuku imekaribia kuisha muda wake wa kupokea. Yeye anataka watu waanze michango kwa mtu binafsi badala ya kuhamasisha michango kwa chama
Lema kichwani ni debe tupu, tunaambiwa mbowe ni tajiri, na chama hakina pesa. Kama mpuuzi lema anaona binamu yake anastahili zawadi, amnunulie yeye.

Msaliti mbowe anastahii heshima gani kwa chama alichokisaliti!
 
Mbona Kiswahili hakiheshimiwi, wajameni? Kiswahili hatumo, Inglishi tunaboronga. Taifa linaelekea wapi eti?

Alipochomekea hilo neno la Inglishi, ndipo akaharibu kabisa:

^wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana^

Kwa kupachika neno hili, GL anamaanisha kwamba FAM ndiye hasa msababishi wa tofauti zilizoonekana na wanaelekea kumtuza kutokana na jambo hilo.

Isijekuwa mwenyekiti mstaafu anatukanwa kwa heshima!

Kama kweli hao ni waungwana, basi walimaanisha regardless!
Hufahamu kiwango cha elimu ya huyu lema?
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambapo pamoja na zawadi nyingine amesema wanaweza kumtafutia Land Cruiser 200.

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) Lema ameandika “Mwenyekiti Msatafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Freeman Mbowe alifanya kazi kubwa za ujenzi wa Chama na mageuzi, nitamshauri Mwenyekiti Lissu kuwa ni jambo la maana kuaanda mkakati maalumu wa kuheshimu commitment yake na kumuaga vizuri na rasmi katika siku itakayopangwa na kuamuliwa”

“Tunaweza mtafutia Land Cruiser 200 Series na some other stuff kuonesha commitment yetu katika kujali na kuheshimu wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana wakati wa kampeni, this is possible”
Dalali kwenye ubora wake!
 
Huyu ndio Lema akiwa hajasoma upepo. Ndio maana kafuta tweet. Kipindi kile alikaa CANADA anawasoma akaja kuwaambia mlichotaka kusikia. Leo Tajiri Mbowe aliyelipia mkutano milioni 200+ na kutuhumiwa kwa rushwa anatakiwa kununuliwa gari kwa fedha za maskini kupitia michango kama ya Join the chain. Ukisikia mtu anaamini wanasiasa wetu wanatofautiana mtizame kama mgonjwa ajae wa stroke. Ni wale wale tu.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambapo pamoja na zawadi nyingine amesema wanaweza kumtafutia Land Cruiser 200.

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) Lema ameandika “Mwenyekiti Msatafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Freeman Mbowe alifanya kazi kubwa za ujenzi wa Chama na mageuzi, nitamshauri Mwenyekiti Lissu kuwa ni jambo la maana kuaanda mkakati maalumu wa kuheshimu commitment yake na kumuaga vizuri na rasmi katika siku itakayopangwa na kuamuliwa”

“Tunaweza mtafutia Land Cruiser 200 Series na some other stuff kuonesha commitment yetu katika kujali na kuheshimu wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana wakati wa kampeni, this is possible”

Baada ya kuulizwa kwanini alifuta post hiyo alisema anapaswa kuliweka jambo hilo katika vikao kwanza;

This is too much. Si atumie tu hela za mama Abduli kujinunulia gari?

Amandla...
 
Lema kichwani ni debe tupu, tunaambiwa mbowe ni tajiri, na chama hakina pesa. Kama mpuuzi lema anaona binamu yake anastahili zawadi, amnunulie yeye.

Msaliti mbowe anastahii heshima gani kwa chama alichokisaliti!
Kweli kabisa. Mtampaje heshima mtu mnae amini kuwa aliwasaliti na alitumia pesa za ruzuku kujitajirisha.

Amandla...
 
Utakuwa ni upotevu wa rasilimali fedha yaani mimchangie tajiri fedha kununulia gari wakati kuna mambo muhimu yakufanya kipindi ambapo chama kinaenda kwenye uchaguzi .Heshima pekee kwa Mbowe ni chama kusafisha jina lake mlimpaka matope.
 
Back
Top Bottom