Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari

Lema: Tumuage M/kiti Mstaafu Mbowe kwa heshima, tumtafutie gari

Kuna wakati unafunika kombe ili mambo yaende. Nikiangalia sana, haya yanayoendelea sio kwa bahati mbaya.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambapo pamoja na zawadi nyingine amesema wanaweza kumtafutia Land Cruiser 200.

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) Lema ameandika “Mwenyekiti Msatafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Freeman Mbowe alifanya kazi kubwa za ujenzi wa Chama na mageuzi, nitamshauri Mwenyekiti Lissu kuwa ni jambo la maana kuaanda mkakati maalumu wa kuheshimu commitment yake na kumuaga vizuri na rasmi katika siku itakayopangwa na kuamuliwa”

“Tunaweza mtafutia Land Cruiser 200 Series na some other stuff kuonesha commitment yetu katika kujali na kuheshimu wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana wakati wa kampeni, this is possible”

Baada ya kuulizwa kwanini alifuta post hiyo alisema anapaswa kuliweka jambo hilo katika vikao kwanza;

Mpuuzi mkuba mwizi wa magari. Matusi yote aliyomtukana Mbowe eti leo ndiyo anajitia kuwa na imani naye, Mbowe usikibali kujihusisha na mashatani hawa akina Lisu. Lisu shetani mkubwa
 
Ha ha haa
Tangu Lissu apate

Wao ni jinsi ya kupata pesa tu kivyovyoteeeeee

Changisha italetwa kwa njia zote wazijuazo... Matumbooooo
 
Huko ni kutaka kujikosha, Chama kinahitaji hela kuendesha siasa, ruzuku imekaribia kuisha muda wake wa kupokea. Yeye anataka watu waanze michango kwa mtu binafsi badala ya kuhamasisha michango kwa chama

Lissu katamka hawaoni michango, njia ingine hii.. Na bado
 
Mnamuaga mjumbe wa kudumu wa Baraza kuu ili iweje? Je, Mbowe ana njaa kiasi Gani hadi apewe gari?.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema amesema atamshauri Mwenyekiti mpya wa Chama hicho Taifa, Tundu Lissu kuanda mkakati wa kumuaga rasmi na kutambua mchango wa Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA, Freeman Mbowe ambapo pamoja na zawadi nyingine amesema wanaweza kumtafutia Land Cruiser 200.

Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter) Lema ameandika “Mwenyekiti Msatafu na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Freeman Mbowe alifanya kazi kubwa za ujenzi wa Chama na mageuzi, nitamshauri Mwenyekiti Lissu kuwa ni jambo la maana kuaanda mkakati maalumu wa kuheshimu commitment yake na kumuaga vizuri na rasmi katika siku itakayopangwa na kuamuliwa”

“Tunaweza mtafutia Land Cruiser 200 Series na some other stuff kuonesha commitment yetu katika kujali na kuheshimu wajibu wake regarding tofauti zilizoonekana wakati wa kampeni, this is possible”

Baada ya kuulizwa kwanini alifuta post hiyo alisema anapaswa kuliweka jambo hilo katika vikao kwanza;

Wanunue gari ya Mwenyekiti aliyepo kwanza.
 
Zawadi pekee inayomfaa Aikael ni kumpa nafasi ya kudumu katika Kamati Kuu ya Chama
 
Askofu Dr Shoo ana magari mengi tu lakini bado Freeman Mbowe kama muumini alishauri baba askofu apewe Zawadi ya Land Cruiser mpya alipokuwa anastaafu

Hivyo Wazo la Mh Kilewo wa Chadema kumpinga Mh Lema kuhusu Zawadi ya V8 Kwa mstaafu Freeman Mbowe Kwa Madai Mbowe hana shida ya magari halina mashiko

Zawadi ni Zawadi

Ahsanteni sana 😄
 
Mbowe angepewa zawadi kijitabu cha madhara ya kupokea rushwa ingependeza sana.
 
Askofu Dr Shoo ana magari mengi tu lakini bado Freeman Mbowe kama muumini alishauri baba askofu apewe Zawadi ya Land Cruiser mpya alipokuwa anastaafu

Hivyo Wazo la Mh Kilewo wa Chadema kumpinga Mh Lema kuhusu Zawadi ya V8 Kwa mstaafu Freeman Mbowe Kwa Madai Mbowe hana shida ya magari halina mashiko

Zawadi ni Zawadi

Ahsanteni sana 😄
Alishauri lakini si yeye alietoa gari, + hilo ni kanisa. Si wana siasa
 
Back
Top Bottom