Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana kitendo cha kumuunga mkono Lissu ni wazi unapoteza kila kitu ndani ya chadema .
Na jinsi ya Makonda alivyotanda Arusha sijui kama kupitia chauma ataweza kungara
Umeandika upupu.Maana kitendo cha kumuunga mkono Lissu ni wazi unapoteza kila kitu ndani ya chadema .
Na jinsi ya Makonda alivyotanda Arusha sijui kama kupitia chauma ataweza kungara
Jimbo hai sio jimbo mfu?Ustaadh Lema anagombea Jimbo la Hai na alishaweka wazi mapema Sana 😂
Makonda mwenyewe anautaka Ubunge mpaka Uwaziri.Maana kitendo cha kumuunga mkono Lissu ni wazi unapoteza kila kitu ndani ya chadema .
Na jinsi ya Makonda alivyotanda Arusha sijui kama kupitia chauma ataweza kungara
Jimbo ni Mali ya CCM uko sahihi Shehe 😂Jimbo hai sio jimbo mfu?