Pre GE2025 Lema Ubunge ndio basi tena?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Maana kitendo cha kumuunga mkono Lissu ni wazi unapoteza kila kitu ndani ya CHADEMA.

Na jinsi ya Makonda alivyotanda Arusha sijui kama kupitia chauma ataweza kungara
 
Maana kitendo cha kumuunga mkono Lissu ni wazi unapoteza kila kitu ndani ya chadema .
Na jinsi ya Makonda alivyotanda Arusha sijui kama kupitia chauma ataweza kungara
 
Ustaadh Lema anagombea Jimbo la Hai na alishaweka wazi mapema Sana πŸ˜‚
 
Maana kitendo cha kumuunga mkono Lissu ni wazi unapoteza kila kitu ndani ya chadema .
Na jinsi ya Makonda alivyotanda Arusha sijui kama kupitia chauma ataweza kungara
Makonda mwenyewe anautaka Ubunge mpaka Uwaziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…