Lema: Ukimya wa Polisi kwenye mapokezi ya Lisu ni Chroloquine iliyopakwa sukari, kuna jambo linafikiriwa

Tuna msiba mzito, ngojeni tumpumzishe mzee kwanza.
 
Kwa mara ya kwanza nawapongeza sn jeshi la polisi
 
Mmeanza kuweweseka!

CCM inapenda kuona Tundu Lisu anateuliwa kuwa mgombea urais!

Ccm kama chama inaweza kuwa inapenda, lakini Magufuli hapendi wala hataki. Na kimsingi hakuna ccm, bali kuna Magufuli, na chama kiitwacho ccm kinachotembelea madaraka ya Magufuli kufanya siasa. Na Magufuli ndio final say. Kama alitaka atangazwe kwa kura 100% na akapitishwa kweli, atashindwa kupanga mshindani amtakaye?
 

Hajaribu kujenga taswira yoyote, bali hiyo ndio hali halisi.
 
Ila serikali nayo huwa inawapaga umaarufu sana chadema.
 
Huyo ameisha athirika kisaikolojia si bure.
 
Lema, wewe furahi kuwa sasa Lisu yupo home. Mambo ya kwanini hukupigwa yasikusumbue bali mshukuru Mungu kuwa weye bado unapumua ya kesho mwachie Mungu. Panga mipango ya kesho kama kwamba upo kesho tiyari
 
Hivi tokea hapo kuna mpinzani ambaye hajatendwa ndani ya miaka 5 hii?
 
Polisi na Rais waliwaacha muandamane na mjipime kama mko sahihi
 

Attachments

  • Screenshot_20200728-161228.png
    89.8 KB · Views: 2
Kwahiyo walijiandaa kwa vurugu, ilipokosekana anaona mapokezi hayakunoga AU?

Badala ya kuwasifu Polisi wamefanya kazi yao ya kuhakikisha usalama wao na mali zao, anawatafutia mabaya.

Mabibi na Mabwana, Huyu ndo waziri kivuli wa mambo ya ndani.
 
Lema

Mnatakiwa mtoe press release ya kulishukuru jeshi la polisi na serikali yake kuwapa heshima kubwa ya kumpokea Tundu..
Washukuruni kwa hilo. Na muwakumbushe kwamba haku ua hata sisimizi..
 
Hatari sana upinzani wa bongo,mkipigwa mnalalamika mmeachwa mnalalamika mxhiuuu mnachekesha sana
 
Asijekuwa anataka kutengeneza tukio maana nae na boss wake ni watuhumiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…