LGE2024 Lema wa CHADEMA afichua madudu mazito kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Asema Serikali inaiba Uchaguzi

LGE2024 Lema wa CHADEMA afichua madudu mazito kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Asema Serikali inaiba Uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akiongea na wanahabaru hivi karibuni amezungumzia namna ambavyo kumekuwa na hujuma kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi kwenye Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa.

Lema amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa serikali wanafanya mbinu ikiwemo kutengeneza semina maalum za kutoa maelekezo jinsi ya kuiba uchaguzi

"Wananchi wakishakata tamaa wakaona democracy is not an alternative, kuna siku watalipuka. Yaani system nzima ya serikali inakaa kupanga kuiba uchaguzi. Wanafanya semina za kuiba uchaguzi. Wanalipana posho za kuiba uchaguzi. Wanatoa maelekezo ya kuiba uchaguzi"

Soma pia: Freeman Mbowe ajiandikisha Uchaguzi Serikali za Mitaa

Lema aliongeza kwa kusema:

"Kuna baadhi ya vituo wameweka makada wao wa Chama Cha Mapinduzi hao wanafanya swapping. Unaenda kwenye kituo kutembea unakutana na msimamizi wa Uchaguzi ana hasira, akimuona kada wa Chadema ana hasira"

Mbona kama CCM wamepania sana. Kuna nini?
 
Arusha tupo busy na Landlover festival hatutoi kiki.... kura zetu zitaenda kwa chama cha Makonda mkombozi wetu
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akiongea na wanahabaru hivi karibuni amezungumzia namna ambavyo kumekuwa na hujuma kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi kwenye Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa.
Niliwaambia hao wapumbavu wa chadema ..bora magufuli alikuwa anajenga nchi kuliko huyu waliye mshangilia ambaye yupo kufisidi nchi ...hasara ni kubwa sana kwa samia kuwa kiongozi.
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akiongea na wanahabaru hivi karibuni amezungumzia namna ambavyo kumekuwa na hujuma kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi kwenye Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa.



Mbona kama CCM wamepania sana. Kuna nini?
Hki chama why always Lema si atafute ajira nje ya SIASA? Amekuwa na platforma kubwa sana ndani ya hii SACCOS shauri ya mwenyekiti binamu yake🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Niliwaambia hao wapumbavu wa chadema ..bora magufuli alikuwa anajenga nchi kuliko huyu waliye mshangilia ambaye yupo kufisidi nchi ...hasara ni kubwa sana kwa samia kuwa kiongozi.
Kwa hiyo kukamilisha miradi alionzisha magufuli ndio kubomoa nchi ?ndio maana tunaposema hiki chama kinashabikiwa na wapuuzi muwe mnaelewa ?
 
😄😄 halafu Lema ni TLP damu. Huko CHADEMA anajilazimisha tu.
Yuko chdema kwa mana ya ukaribu wake na mbowe ambo ni wa kutoka eneo moja na ni undugu wa damu pia (binamu)Tusibiri tuona wakati Mzee atakapokuwa amechoka kisawasawa na kuachia uwenyekiti kama huyu Lema ataendelea kuwepo,
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akiongea na wanahabaru hivi karibuni amezungumzia namna ambavyo kumekuwa na hujuma kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi kwenye Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa.

Lema amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa serikali wanafanya mbinu ikiwemo kutengeneza semina maalum za
Washauri wa ccm wa sasa bure kabisa , hii ngoma ni ngum sana kuliko wanavyo fikili, mfano unajaza watu hewa kwenye daftari , uku ukijua kabisa wapiga kura wanajuana katika mitaa wanayoishi, sasa ngoja siku kura wajichanganye.

Ushauri kwa vyama vya upinzani

Mpaka mda wa uchaguzi bado upo so ,baada ya zoezi la uandikishaji machinery za chama kila kata ,mtaa kuanza kuskan majina yote na kujua majina yaliyo kwenye madaftari ni halali kwenye mtaa husika , ili ndani ya mwezi mmoja ni rahisi kuwa limefanyika nchi nzima
 
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema akiongea na wanahabaru hivi karibuni amezungumzia namna ambavyo kumekuwa na hujuma kwenye zoezi la uandikishwaji wa wananchi kwenye Uchaguzi Wa Serikali Za Mitaa.
kwani alipokua anaiba malori ya watu alikua anafanyaje kwa mfano? :pulpTRAVOLTA:

ukiacha ushirikina na uchawi alikua anatumia nini cha ziada?
 
Kwa ufupi wewe ni kichaa na ndio maana huthubutu kutumia jina lako halisi ili uandike unajua kwa akili za kufikirika.
Hilo ni jina langu siyo jina feki wewe pimbi wa ccm
 
Washauri wa ccm wa sasa bure kabisa , hii ngoma ni ngum sana kuliko wanavyo fikili, mfano unajaza watu hewa kwenye daftari , uku ukijua kabisa wapiga kura wanajuana katika mitaa wanayoishi, sasa ngoja siku kura wajichanganye.

Ushauri kwa vyama vya upinzani

Mpaka mda wa uchaguzi bado upo so ,baada ya zoezi la uandikishaji machinery za chama kila kata ,mtaa kuanza kuskan majina yote na kujua majina yaliyo kwenye madaftari ni halali kwenye mtaa husika , ili ndani ya mwezi mmoja ni rahisi kuwa limefanyika nchi nzima
Hili na Mimi ndio ninalo akilini ku scan majina yote yatakayobandikwa
Erythrocyte
 
Back
Top Bottom