Pre GE2025 Lema: Wajumbe mkipewa pesa au chakula chukueni kwenye kupiga kura wachinjeni. Mchagueni Heche kwenye Umakamu Uenyekiti

Pre GE2025 Lema: Wajumbe mkipewa pesa au chakula chukueni kwenye kupiga kura wachinjeni. Mchagueni Heche kwenye Umakamu Uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Lema awaambia wajumbe yeyote anayewashawishi kwa pesa na kutaka kuwafungia chakula wachukue halafu wakishakua waende kwenye kuwachinja kwenye uchaguzi.

Pia soma:
Aongeza kuwa wanaofanya hivi hawana nia nzuri na chama, wananunua matatizo kwaajili gani, sababu kuwa kiongozi wa chama cha upinzani ni matatizo.

Na kusisitiza wajumbe wamchague Heche kuwa Makamu Mwenyekiti, akiongeza kuwa angekuwa na mamlaka ya kichama wenye hakutakiwa kuwa mwanachama wa CHADEMA, sababu amewafikisha hapo walipo.

 
Lema awaambia wajumbe yeyote anayewashawishi kwa pesa na kutaka kuwafungia chakula wachukue halafu wakishakua waende kwenye kuwachinja kwenye uchaguzi.

Aongeza kuwa wanaofanya hivi hawana nia nzuri na chama, wananunua matatizo kwaajili gani, sababu kuwa kiongozi wa chama cha upinzani ni matatizo.

Na kusisitiza wajumbe wamchague Heche kuwa Makamu Mwenyekiti, akiongeza kuwa angekuwa na mamlaka ya kichama wenye hakutakiwa kuwa mwanachama wa CHADEMA, sababu amewafikisha hapo walipo.
kwamba wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wasikize na kufuata ushauri wa jambazi na mnyang'anyi wa malori kama Lema? Kweli?🤣

na alivyojichikea hivyo?🤣
 
Duh kwahiyo wenje hasirahili kuwa mwana chadema
 
kwamba wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wasikize na kufuata ushauri wa jambazi na mnyang'anyi wa malori kama Lema? Kweli?🤣

na alivyojichikea hivyo?🤣
Mbona yuko uraiani? Hamjamfungulia kesi ? Jambazi gani ana randa mitaani free bila kukamatwa na dola
 
kwamba wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wasikize na kufuata ushauri wa jambazi na mnyang'anyi wa malori kama Lema? Kweli?🤣

na alivyojichikea hivyo?🤣
Unaandika na kujichekesha mwenyewe!
 
Mbona yuko uraiani? Hamjamfungulia kesi ? Jambazi gani ana randa mitaani free bila kukamatwa na dola
acha kwanza laana ya kukataliwa na kupuuzwa imnyoroshe,

si unamuona alivyochoka lakini? anaishi kwa vizinga tu saivi 🐒
 
Mambo yameshakuwa hadharani sasa.Kuna mkakati wa kuiuza CHADEMA kwa mamlaka inafanywa na Mbowe,Sugu,Wenje na Abdul
 
Lema awaambia wajumbe yeyote anayewashawishi kwa pesa na kutaka kuwafungia chakula wachukue halafu wakishakua waende kwenye kuwachinja kwenye uchaguzi.

Aongeza kuwa wanaofanya hivi hawana nia nzuri na chama, wananunua matatizo kwaajili gani, sababu kuwa kiongozi wa chama cha upinzani ni matatizo.

Na kusisitiza wajumbe wamchague Heche kuwa Makamu Mwenyekiti, akiongeza kuwa angekuwa na mamlaka ya kichama wenye hakutakiwa kuwa mwanachama wa CHADEMA, sababu amewafikisha hapo walipo.
Hivi kwa nini wanasema Wenje kawafikisha hapa walipo? Walitaka anyamazie mipango yao ya kumuondoa Mwenyekiti? Kwani wangetangaza mapema kuwa hiyo ndio nia yao pangeharibika kitu gani? Hapa hata hawajashinda wameanza kuzungumzia kumfukuza uanachama mtu aliyetofautiana nao! Hawa wakishinda wataanza juhudi za kumuangushia jumba bovu Mbowe. Na baada ya hapo watageukana. Hilo sina shaka nalo kabisa.

Amandla...
 
Hili swala la pesa za Abdul kumbe ni kweli.
Hata mimi binafsi ninaanza kuamini zile tetesi toka Twitter kuwa kuna asali ya 12B imekuwa injected ndani ya chama. Dr Slaa kazungumzia hilo suala Twitter.

Kama hizo tetesi za 12B ni za ukweli basi Abdul yupo serious MNO.


12B sio pesa ya kitoto 🤣
 
Back
Top Bottom