alikimbilia kanisani kuokoka, na huko nako akataka kumpindua yesu ili nafasi ya yesu akae yeye lemaKwa hiyo majambazi haya kamatwi ? Siku hizi wanaruhusiwa kutembea free mitaani?
Wenje ni nani kwenye chama hadi awe mashuhuri kiasi hicho kuzuia mapinduzi ya sultan kama unavyodai?Hivi kwa nini wanasema Wenje kawafikisha hapa walipo? Walitaka anyamazie mipango yao ya kumuondoa Mwenyekiti? Kwani wangetangaza mapema kuwa hiyo ndio nia yao pangeharibika kitu gani? Hapa hata hawajashinda wameanza kuzungumzia kumfukuza uanachama mtu aliyetofautiana nao! Hawa wakishinda wataanza juhudi za kumuangushia jumba bovu Mbowe. Na baada ya hapo watageukana. Hilo sina shaka nalo kabisa.
Amandla...
kwa hiyo mamlaka zimemfumbia macho sio?alikimbilia kanisani kuokoka, na huko nako akataka kumpindua yesu ili nafasi ya yesu akae yeye lema
wacha kiboko cha Mungu kimnyoroshe na atajisalimisha kwenye mamlaka za dunia yeye mwenyewe kwa miguu yake miwilikwa hiyo mamlaka zimemfumbia macho sio?
Kama ni mdogo kama unavyosema kwa nini Lissu, Heche na sasa Lema hawaachi kumsema?Wenje ni nani kwenye chama hadi awe mashuhuri kiasi hicho kuzuia mapinduzi ya sultan kama unavyodai?
Kwanza kuna watu huyo wenje wala walikuwa hawamfahamu kwa sura wala jina ila baada ya hii kashifa ya kuwa kuwadi wa abdul ndio watu wameanza kumfuatilia
Hizo hadithi tu za pwagu na pwaguzi kutoka kwa wenjeKama ni mdogo kama unavyosema kwa nini Lissu, Heche na sasa Lema hawaachi kumsema?
Lissu mwenyewe amesema kuwa Wenje amewageuka. Na Wenje anasema alistuka alipothibitisha kuwa madai ya kuwa Mbowe amehongwa gari na Abduli kuwa yalikuwa ya uongo. Mbowe alimuonyesha risiti za manunuzi na mpaka ushauri wake kwa Chadema kuwa nao wanunue magari katika huo mnada.
Shida yenu ni kuwa ni wavivu wa kufikiri na mnapenda kumuabudu mtu ambae anawaahidi kuwa yeye ndie mwokozi wenu.
Amandla...
Naunga mkono hoja 💯 %Lema awaambia wajumbe yeyote anayewashawishi kwa pesa na kutaka kuwafungia chakula wachukue halafu wakishakua waende kwenye kuwachinja kwenye uchaguzi.
Aongeza kuwa wanaofanya hivi hawana nia nzuri na chama, wananunua matatizo kwaajili gani, sababu kuwa kiongozi wa chama cha upinzani ni matatizo.
Na kusisitiza wajumbe wamchague Heche kuwa Makamu Mwenyekiti, akiongeza kuwa angekuwa na mamlaka ya kichama wenye hakutakiwa kuwa mwanachama wa CHADEMA, sababu amewafikisha hapo walipo.
Kipenda roho hula nyama mbichi.Hizo hadithi tu za pwagu na pwaguzi kutoka kwa wenje
the misuse of public fund. kwenye nchi siriazi kuna watu walipaswa wachapwe risasi hadharani.Hata mimi binafsi ninaanza kuamini zile tetesi toka Twitter kuwa kuna asali ya 12B imekuwa injected ndani ya chama. Dr Slaa kazungumzia hilo suala Twitter.
Kama hizo tetesi za 12B ni za ukweli basi Abdul yupo serious MNO.
12B sio pesa ya kitoto 🤣