Lemutuz amwaga mamilioni huko instagram

Kwani le mutuz nae kigogo nchi hii au? Eti wanasema shati lake unaweza toa pande mbili za pazia za milangoni
 
Nimesikia eti anataka kukuoa na harusi yenu itafanyikia Paris..wafanyabiashara wakubwa kwa mbwembwe bhana..
Hahaha u know tulitaka ifanyikie uwanja wa taifa but bcoz I'm a big celebrity Imebidi niahirishe tu mamen coz kila mtu anataka kushuhudia harusi ya king of bongo all social media networks

Afu wewe una masters kweli au unapiga tu kelele hapa
 
Last edited:
Duuuh hahahaa nyie wapuuzi mnajua kupaka, daaah
 
Hahaha u know tulitaka ifanyikie uwanja wa taifa but bcoz I'm a big celebrity Imebidi niahirishe tu mamen coz kila mtu anataka kushuhudia harusi ya king of bongo all social media networks

Afu wewe una masters kweli au unapiga tu kelele hapa
Hahaaa usinikumbushe Harusi yake na kuchukuwa uwanja wa Taifa! Kwah!kwah!kwah!
 
Mfanyabiashara mkubwa katika nini....?
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…