Wabebez mbona siwaoni???
Nimekosa neno la kusema ila huyo marehemu hakua akiishi vizuri....mtoto wake mwili mkubwa akili kisoda hakua akimjali....angeweza kumpa maisha mazuri plus matibabu sahihiWabebez mbona siwaoni???
Salama kwa Davis Mosha...
Have birds of the same feathers failed to fly together??
humjui mmiliki wa zamani wa jf kabla hajaiuza kwa dola laki tano kwa mr max?Le mbutuz ni nani?
Au ni ndugu na Luiza mbutuz?
Mbona mabilionea wote bongo nawajuwa lakini yeye sijawahi hata kumsikia?
Huyu atakuwa Korongoe tu,Sema analazimisha nafasi isiyomfiti
mkuu huku JF kuna vilaza kibao usishangae.Mfanyabiashara mkubwa harafu anamiliki blogu!! Bogu ipo nchini Tz ambakorobo tatu ya wananchi wake hawana umeme!!
Wakati mwingine hutumika kama turubai kwenye misibaNi kweli shati lake linauwezo wa kufunika Starlet?
Kuna mdau aliwahi kusema kwamba zile kaptura anavaliana na tembo,hata ukimwambia mbona unavaa shati kubwa anakublock wakat ni ukweli huyu jamaa bhana
Majora matatu yanamtosha kushona shati na suruali,Kwani le mutuz nae kigogo nchi hii au? Eti wanasema shati lake unaweza toa pande mbili za pazia za milangoni
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Majora matatu yanamtosha kushona shati na suruali,
HahahahahahahaNi kweli shati lake linauwezo wa kufunika Starlet?