Lemutuz aombwa kuwa makini na Hamisa Mobetto.

Status
Not open for further replies.
No
Kumbe mkuu upo jf
 
No
Kumbe mkuu upo jf
 

- hahahahahaha hayo maneno yangekuwa muhimu mimi kuyajibu kama hao unaowasema wangekuwa wananilipia maisha hahahahaha pole sana pigana na hali yako kwanza

le Mutuz
 
Ka hamisa kenyewe hakana hata nyama daa
 
We nawewe sasa nimesoma comment yako weeeee ulipozingua ni pale kumuhusisha MTU na ushoga mtaani,inakujaje we robot?
Mimi mtu nisotambua jinsia yake ni robot tu,sorry tho if it is disgusting.
 
JANANI HUYU JAMAA ANAUMRI GANI ?
 
Imebidi nimwonee huruma sana huyo le big body and brain less kwa kweli ............... Hapa ulitakakiwa uwe unazungumzia watoto kuwepo shule na kusubiria wajukuu................. sasa kweli umri huo 50++ + unadhubutu kuzungumzia le baby? kweli kua uyaone....... Kweli wewe na 50+++ yako unasema eti umeajiri vijana 8? Sasa si bora yule mwenye shamba lake la heka 200 na zaidi aliyeajiri vijana zaidi ya 30 na bado hawezi kuja kutamba kwenye mitandao? umri wako na unachokifanya kwa kweli sio kabisa ati studio ya ONTV na ajira ya watu8 shame on you Big body........................... Bora hata Mange mara mia kuliko wewe.............. vipi njoo kwa garage yangu uone nina vijana wangapi wanaojifunza tuu na wangapi wanafanya kazi na bado nitakunyooshe agari yako bure.............
 
aseee,umeachana na africa sawahili tv wewe na ceo wako ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…