miwani ya maisha
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,733
- 2,511
BASHITE NA JERRY MURO- Uongo ukiandikwa sana unageuka kuwa ukweli, so unakubali kwamba unashangilia uongo unaoujua kuwa ni uongo na wewe great thinker? Kuhusu Nasra ungetulia tu hujui anything ungejali maisha yako au unataka nikuoe wewe?
le Mutuz
Kumbe mkuu upo jf- hahahahahahaha kwanza sijaaachana na Baby wangu Nasra, na pili hizo picha ni za miaka 3 iliyopita sijaonana na Hamisa toka Mwaka jana mara ya mwisho tulikutana Fish Market kabla hata hajawa mjamizto, sijamuona tena so guys mpuuzieni huyu jamaa na huu udaku!
le Mutuz
Kumbe mkuu upo jf- hahahahahahaha kwanza sijaaachana na Baby wangu Nasra, na pili hizo picha ni za miaka 3 iliyopita sijaonana na Hamisa toka Mwaka jana mara ya mwisho tulikutana Fish Market kabla hata hajawa mjamizto, sijamuona tena so guys mpuuzieni huyu jamaa na huu udaku!
le Mutuz
Samahani.
Najua wewe ni verify member humu JF.
Sasa unaweza kusema umri wako kwa sasa?
Maana watu wengi humu JF wanasema una umri mkubwa(50+years) lakini Akili na Tabia zako ni kama kijana wa kitanzania wa mjini anaye balehe.
Sasa ili tusikuhukumu vibaya, ni vyema ukaverify na umri wako ili kuondoa utata.
BASHITE NA JERRY MURO
- hahahahahahaa mbona unawataja wababe wa vita tena? hahahahahaha
le Mutuz
No
Kumbe mkuu upo jf
Hahahahaha huyu ni comedian YA jf. Wewe utaona thread itakavyojaaaa na yeye anapenda view ziwe nyingi kwa hiyo hatajitahidi kujibu Kila coment.....No
Kumbe mkuu upo jf
Umri wake na mambo anayoyafanya haviendani unasikitisha sana
We nawewe sasa nimesoma comment yako weeeee ulipozingua ni pale kumuhusisha MTU na ushoga mtaani,inakujaje we robot?Utoto na wivu. Kutembelea Noah ndo Mtu ashindwe kumnunulia Mtu hata Porsche. Inategemea na Interests wewe na mimi hatuwezi kuzungumzia uwezo Wa mtu ambaye sie Sisi. So zip up. Afu na mtoa mada kumwagwa Au kumwaga we utajuaje. Ushoga ndo mana haushi. Kuingilia vitu tu havikuhusu mtaoelewa
KUMBE ILIKUWA YA DAVIS MOSHA ALIVYOKUWA ANAIPIGIA CHAPUO NIKAJUA ANA UBIA KWENYE ILE TV STATIONDavid Mosha keshampiga chini kule kwenye TV station.,..
Atapata wapi pesa ya kuhonga RV4?
JANANI HUYU JAMAA ANAUMRI GANI ?Mashabiki wa Lemutuz wamemtaka gwiji hilo la mitandao ya kijamii kuwa makini na mrembo Hamisa Mobeto hasa kutokana na tabia yake ya mrembo huyo kutegeshea mimba kwa watu wenye ukwasi kama Lemutuz,huku wakitegemea kupata Rav4 na milioni 5 ya matumizi.
Mashabiki kadhaa walimwambia Lemutuz kuwa makini na Hamisa hasa ikizingatiwa wawili hao kuwa pamoja baada ya Lemutuz kumwagwa na mrembo Nasra International huku Hamisa akimwaga Diamond.
hatutaki kushika mavi ya mtu mzima bna
JANANI HUYU JAMAA ANAUMRI GANI ?
- yaani kama walivyoyashika wanaume 10 waliombaka marehemu baba yake, i can understand that anakumbuka mpaka leo alichokiona kwenye video hahahahahaha
le Mutuz
aseee,umeachana na africa sawahili tv wewe na ceo wako ?- Sijakuelewa kila wakati unapenda sana kunizushia uongo na majungu vipi wewe ni kaka wa my ex nini maana hao ndio wanahangaika kila siku kunitungia uongo uongo, WHY?
- Mbona kuna mambo mengi ya maana kwa jamii nayafanya huyasemi? Like now nimeshafungua my Online TV nimetoa ajira kwa vijana 8 toka mtaani, mbona usiandike mambo ya msingi kama haya?
le Mutuz