Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kanuni ipi hiyo ya kizungu ambayo unasema wewe na yeye anaitekeleza?mtu mzima yule ni babaako kabisa lakini kwa mambo anayofanya ni utoto mwingi sana.mkuu styl ya maisha sio kanuni za chemistry darasan kila mtu ana styl yake weww km unafata kanuni fata hizo kanuni zenu za chemistry ila tu ujue wazungu wamewaweza sana adi leo mnamtusi mwafrica mwenzenu kisa haishi kikanuni mlizopewa na mzungu.
Dishi limeyumba! Seriously!? Wiki imepita sasa tangu nimuone akiendesha Noah yake akigonga Bakulutu.Huko India wangempima na ubongo maana inaonekana umecheza
Kama linasambaza upendo kwa wadada sio mbaya. Wacha awapunguzie makali ya maisha.Bogaz sana huyo jamaa, lile bichwa angetumia vizuri hata uteuzi angeupata.
Lakini linaona wabebez ndio mpango mzima,bichwa lote limejaa picha za papuchi.
Mda wote babaangu,baba kasema,baba alikua mtu mkubwa,
Babaa babaa babaaa,
Jimwili lote lile huoni aibu kutaja baba ,baba kila muda.
Nani hana baba hapa duniani.
Nani asiyempenda babaake.
Mchana linaweka kumbukumbu nzuri ya picha na wateuliwa.
Jioni linaweka picha liko chimbo na hawa ngedere mwitu.
hakuna tatizo kuhusu hilo,wote tunafanya huo upuuzi kwa muda unaotakiwa.kumbuka huyo mtu alishagombea uenyekiti ea community.Kama linasambaza upendo kwa wadada sio mbaya. Wacha awapunguzie makali ya maisha.
Boma liwanza.Boma yeee
hatakiwi kutoka maana ni burudani tosha,hata hapa tunamkumbuka sanaBoma liwanza.
Kasi yake kwa sasa anatuonyesha wabebez wanavyomlilia! Kwa tuliosoma Urusi ni kama anataka kuprove kitu.
Siungi mkono hoja ya yeye kutoka kwenye mitandao nitamisi uandishi wake.
Alipandikiza tu kwa juu alikuta tayari zipo.Le Mutuz hawezi kuachana na social media kwasababu hapa Bongo yeye ndio mwanzilishi.
Kumbe Lembebez bado yupo, nilidhani aliondoka na Mwendazake
Mzee Mohamed said anaweza kuwa na umri wa miaka mingapiList ambao wanaitaji kuachana na mitandao ya jamii:
*Nape
*kigwangala
*Mzee Mohamed Said hapa JF
*TCRA na TRA
*CCM
*Umoja wa kujitenga ZNZ
.........
Wote hawa
Le mutuz kamzidi miaka mi 5 Muhammed,Mzee Mohamed said anaweza kuwa na umri wa miaka mingapi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kumbe Lembebez bado yupo, nilidhani aliondoka na Mwendazake
Sijui ali mu escort? Hahahaaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]