reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sijui ali mu escort? Hahahaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sijui ali mu escort? Hahahaaa
Alirudi ya laptop ya hp kutoka USA..nadhani anajivunia sana hili piaHivi vitoto vinavyolamba lamba midomo, kuvaa pensi chini ya makalio pamoja sandals na socks wana la kujifunza kupitia huyu mzee maana hatma yao itakuwa kama hili babu.
60 yrs old man ana mentality ya 20 year old. Kitu pekee cha maana anachojivunia kumiliki ni jina la baba yake.
I'm humbled you knowLe mutuz Mobimba Kokobanga Boma Ye ,Nye nye nye! You know down town in "manhaen"....American Spirits with Facts.
Na 'VINTAGE' Toyota Noah ya mwaka 96.Alirudi ya laptop ya hp kutoka USA..nadhani anajivunia sana hili pia
Asante mkuu. Umetoa ushauri konki sana. Huyu mzee anatakiwa apumzike atulize moyo unaomuuma coz kwa umri wake hapaswi kuwa na kashkash nyingi kiasi hicho.Nimemfuatilia hivi karibuni baada ya kutoka India kwenye Operesheni ya Moyo naona anatukanatukana watu tu hovyo wanaochangia Post zake.
Nadhani kuna shida mahali,nasikia aliwekewa mashine kwenye Moyo wake na kuna mtu aliniambia ukiwekewa mashine kwenye Moyo unakuwa na hasira zisizoeleweka, sijui ndicho kinachomkabili au amepata shida kidogo.
Ila kutokana na yeye kuwa na Ugonjwa ambao hautaki mbambamba bali utulivu ni vyema akashauriwa atoke huko Mitandaoni coz hao anaowatukanatukana bila utaratibu siku wakianza kujibizana asije akashindwa kuamka.
Ni kwa nia njema tu coz tunampenda Mzee wa Wabebez wa rangi za mitume, na tunataka aendelee kura Maisha Bandikabandua na kuhang out na visu juu ya Gadem Visu you know!
Azidi kutupa Straight talks na free Education you know, watu tupige kazi tutafute hela Bongo ni tambarare ni kama Mbelezz you know!
Atuambukize American spirit tuargue kwa Facts.
Ni hayo tu narudi zangu Sweken Downtown sipawezi you know,mambo ya Fivestar na Battan Wavuvi Camp ni Gharama sana you know!,tumshauri King of all social media asijiue bila kujua you know!Boma Yee!Yee!Boma Liwanza!Liwanza!
Iam just saying nothing personal you know!It is so simple na sasa hii ni CASE CLOSED you know!NAFWAZ.
Du wapi hapa? Zee la bata batani 😀 😀 😀
Huyu jamaa anasifa sana uknowNimemfuatilia hivi karibuni baada ya kutoka India kwenye Operesheni ya Moyo naona anatukanatukana watu tu hovyo wanaochangia Post zake.
Nadhani kuna shida mahali,nasikia aliwekewa mashine kwenye Moyo wake na kuna mtu aliniambia ukiwekewa mashine kwenye Moyo unakuwa na hasira zisizoeleweka, sijui ndicho kinachomkabili au amepata shida kidogo.
Ila kutokana na yeye kuwa na Ugonjwa ambao hautaki mbambamba bali utulivu ni vyema akashauriwa atoke huko Mitandaoni coz hao anaowatukanatukana bila utaratibu siku wakianza kujibizana asije akashindwa kuamka.
Ni kwa nia njema tu coz tunampenda Mzee wa Wabebez wa rangi za mitume, na tunataka aendelee kura Maisha Bandikabandua na kuhang out na visu juu ya Gadem Visu you know!
Azidi kutupa Straight talks na free Education you know, watu tupige kazi tutafute hela Bongo ni tambarare ni kama Mbelezz you know!
Atuambukize American spirit tuargue kwa Facts.
Ni hayo tu narudi zangu Sweken Downtown sipawezi you know,mambo ya Fivestar na Battan Wavuvi Camp ni Gharama sana you know!,tumshauri King of all social media asijiue bila kujua you know!Boma Yee!Yee!Boma Liwanza!Liwanza!
Iam just saying nothing personal you know!It is so simple na sasa hii ni CASE CLOSED you know!NAFWAZ.
Kwamba kuna coil hazichomi?Huko India wangempima na ubongo maana inaonekana umecheza
Amezianzishaje wakati hivi vitu ukifungua tu internet unakutana navyo??Le Mutuz hawezi kuachana na social media kwasababu hapa Bongo yeye ndio mwanzilishi.
YapLe mutuz kama humuelewi ndo shida kwako...lakin ana akili kubwa Sana kuliko Wengi wanaojifanya kumponda .. social media inataka controversy..ili uweze kuzungumzwa... anafanya exactly that