Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
mimi nampenda le mutuz. Anaishi maisha anayayoyaona kwake ni sahihi. Ingawa kwa wengine wanaona sio sawa. Ooh mzee ooh wewe sasa babu. Mwacheni mwenyewe hamuombi mtu. No matter what you do watu watasema tu. As long as mwenyewe yuko happy hajali. Ugua pole
Endeleeni kumtia ujinga
 
Wanaume wa dar ni sheeda, yaani ac tuu adi kulazwa?
 
Jana nilipotoka out for dinner at the five star hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] le mutuz bwana
 
Najaribu kujiweka kwenye viatu vya baba yake Mzee Malecela, alilipa ada zashule, alimkinga na baridi na mvua na matokeo yake ndiyo hayo....mwanae hajakua bado!
Maria na Joseph tuombee.
 
Nadhani Kitu cha Msingi alichotakiwa kutuambia ni kuwa anaumwa tu na kwamba anatuomba tumuombee lakini hizo sijui AC mara Five Star Hotel na Hospitali aliyopo ni Siri nadhani Kwangu Mimi hapo amezidi kutuonyesha ' Udhaifu ' wake mkubwa wa Akili / Upeo.

Sasa unapoficha hadi Hospitali wakati kuna Watu kama akina GENTAMYCINE wana ' Upako ' wa moja kwa moja kwa Kumshika au Kumgusa Mtu ' directly ' na anapona kweli kwa hapa Msaada wangu Kwake nitautoaje kama hata Hospitali tu aliyopo sasa ni Siri?

Natamani sana Siku nipate wasaa ' Maalum ' tu niweze kufanya ' Exclusive Interview ' na Waziri Mkuu Mstaafu Mzee John Malecela niweze Kumuuliza Swali langu ambalo linanitatiza Siku nyingi kwamba huyu kweli ni Mwanae ' Biologically ' au labda amesingiziwa au ni Mtoto wa Kaka yake kwani sioni Uhusiano wa Busara na Uwezo mkubwa wa Hekima wa Mzee Malecela na Yeye ( huyu Mgonjwa wa AC )

Mtoto wa Kiume AC tu inakusumbua si hatari sana hapa na tayari umeshatuonyesha jinsi ulivyo ' Nyoro Nyoro / Legevu Legevu ' kabisa. Halafu kwa Mtoto wa Kiume ambaye kila Asubuhi Mnara wako wa Babeli unasimama kuja Mitandaoni na ' Kudekadeka ' kuwa unaumwa Ugonjwa wa ' AC ' ni ishara tosha ya ' Uvimelea ' vya Ukike Kike.

Mtoto wa Kiume unatakiwa Kuugua Magonjwa kama ya Kuvimba Pumbu / Kende, Mboo kuzidi Urefu, Gono, Kaswende, Kutiririka kwa Kasi kwa Shahawa nyingi Mbooni / Uumeni / Mkuyengeni na Tezi Dume ila siyo Kuugua Ugonjwa wa Kike Kike wa ' AC '. Siku zingine acheni ' Kutudhalilisha ' Wanaume wenzenu humu Mitandaoni.
Daaah amekuelewa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana nilipotoka out for dinner at the five star hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] le mutuz bwana
Five star hotel downtown you know, no makelelez hamna wauza mapanga na visu kile yaani ni full utulivu, jana hiyo nilikuwa na the commandant field marshall baba keagan na the boss kinje na mbebez yasinta hahahahahahahahah!

- Lemutuz
 
ha hahahaa le mutuz fahari ya Tanzania kwa kweli! eti ana watu wengi.
 
Najaribu kujiweka kwenye viatu vya baba yake Mzee Malecela, alilipa ada zashule, alimkinga na baridi na mvua na matokeo yake ndiyo hayo....mwanae hajakua bado!
Maria na Joseph tuombee.
Mazafantaz wewe baba yako ada aliyolipa umemsaidia nini

HAHAHAHAHAHA! jamani acheni majungu guyz pigeni kazi hahahahaha

- Lemutuz
 
Hicho kibamia hadi tutumie VAR kukiona.
IMG-20190422-WA0000.jpg
 
Wanajuana bwana wale huoni ameamua na uncle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila baharia siku hizi amekua kimya sana, hata yale mapichapicha yake anayopigaga na konda siyaoni tena
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom