Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

Status
Not open for further replies.
Endeleeni kumtia ujinga
 
Wanaume wa dar ni sheeda, yaani ac tuu adi kulazwa?
 
Jana nilipotoka out for dinner at the five star hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] le mutuz bwana
 
Najaribu kujiweka kwenye viatu vya baba yake Mzee Malecela, alilipa ada zashule, alimkinga na baridi na mvua na matokeo yake ndiyo hayo....mwanae hajakua bado!
Maria na Joseph tuombee.
 
Daaah amekuelewa mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jana nilipotoka out for dinner at the five star hotel [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] le mutuz bwana
Five star hotel downtown you know, no makelelez hamna wauza mapanga na visu kile yaani ni full utulivu, jana hiyo nilikuwa na the commandant field marshall baba keagan na the boss kinje na mbebez yasinta hahahahahahahahah!

- Lemutuz
 
ha hahahaa le mutuz fahari ya Tanzania kwa kweli! eti ana watu wengi.
 
Najaribu kujiweka kwenye viatu vya baba yake Mzee Malecela, alilipa ada zashule, alimkinga na baridi na mvua na matokeo yake ndiyo hayo....mwanae hajakua bado!
Maria na Joseph tuombee.
Mazafantaz wewe baba yako ada aliyolipa umemsaidia nini

HAHAHAHAHAHA! jamani acheni majungu guyz pigeni kazi hahahahaha

- Lemutuz
 
Pole mkubwa! Mungu na akupe uponyaji. U gonna be ok!
 
Wanajuana bwana wale huoni ameamua na uncle
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila baharia siku hizi amekua kimya sana, hata yale mapichapicha yake anayopigaga na konda siyaoni tena
 
Reactions: BAK
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…