Watu bwana...!! Bora wewe umempa big uphongera Lemutuz...kamtunze mkeo akutunze...
Duh umejuaje wakati picha ipo kwa mbele ?Mbn hana chura?
Msela mwandamizi!!!Aisee kumbe alikuwa msela mwenzetu
hahahaaHii nayo ni point nilisahau kama Le Mobimba ni classmate wa Mizengo Pinda.
hahaaa dolla 5000 kwa mbongo" aiseee"" ataishia kubebA watoto wawatu tu".. kiasi kama hicho kukipata kwa wabongo wengi" nimpaka wa cheze 3mzuka then sheTani awe upande wao siku hiyoIvf ipo overated hapo mikocheni ni dolar 5000 tu.madawa unanunua mwenyewe na clinic unaenda za kawaida.ukijipeleka huko upewe kila kitu ni hela ndefu sana bila sababu.
Mbona ndo style ya muji huu sasa hivi. Watu wakifulia wanatangaza kuoa michango ikiwa mingi wanacancel ndoa wanakula michangoIsije ikakusanywa michango na kamati ya harusi ikatengenezwa then zzzzzzzzzzzzzzzzzzz kama ile nyingine maana kamati ilikuwa imeshiba akina David Mosha n.k
Kuna watu wamegoma kuzeeka mmojawapo ni huyu mzee!Nimecheka sana eti the woman of his dreams, hadi umri huo bado ana dream ?
Downtown kwenye apartment u knowSasa zile nyumba zake hajazijenga atakaa nae wapi huyo totozi
Kila shetani na mbuyu wake pengine naye ana kama ya mtoto mdogoKwa hiyo huyo queen atavumilia kile kibamia cha King...
Dooh hahahaNadhani hizi nafasi za Udc kutupwa pembeni licha ya kuwa mpambe wa Bashite imemuumiza na ameambiwa kwenye vetting kuwa single imemuharibia.
Tena age ya compulsory retirement hahahaMbona Jokate ni single, tatizo mobimba amegonga retirement age
Aisee we jamaa wewe [emoji849][emoji849]Kila shetani na mbuyu wake pengine naye ana kama ya mtoto mdogo
ww fala sana umenichekesha wkt sikuwa tyrMobimba ana allergy ya kukaa karibu na masikini hataki kuambukizwa umasikini
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.
Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA MANGE, kumbe wengi walifeli mtihani wa kuwa Mrs Lemutuz kwa kumuogopa dada wa taifa.