Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kile kitv ulichokuwa unadai ni chako kimebuma, now huna jipya unatafuta kick tu!- Thanks babe ubarikiwe U know!
le Mutuz Superbrand
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] twen'zetu intelligence huku siko[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Aisee we jamaa wewe [emoji849][emoji849]
TobaaaKile kitv ulichokuwa unadai ni chako kimebuma, now huna jipya unatafuta kick tu!
Ile kiki ya kibamia ilikuibua hatari, tafuta nyngine may be unapumuliwa mgongoni!
Mmmh watu mna maneno jamani...[emoji23] [emoji23]Mbona Jokate ni single, tatizo mobimba amegonga retirement age
imecheka hadi nuimeangusha simuKwa hiyo huyo queen atavumilia kile kibamia cha King...
HAHAHAAAAAAAAAAAA JAMANIDah kuna mwanamke anaenda kujitwishwa hilo zigo la mtu.... pole zake
BABA UPO UMEPOTELEA WAPI WANAO TUNAKUSAKA SANAsingle on the outside...maybeeee!
ULIKUWA HUJUI NDO UJUE ACHA KUGUNA MAN hahaaaaaaaaaaaaaaDuuh
Umekiona hicho Kibamia???Kwa hiyo huyo queen atavumilia kile kibamia cha King...
Ndio story ya mjini mkuu, Au upo mbali na mitandao ya kijamii wakati video ya kile kidole cha mtoto mchanga kilipoonekana katikati ya mapaja ya King, Yeye mwenyewe alikuwa very frustrated baaday ile video kuvuja...Umekiona hicho Kibamia???
Kwani uliambiwa kila mtu anapenda chura??? Portable ndio mpango mzima, nani anataka manyama nyama na miharufu ya ajabu... hongera le mobimba nyee nyeee.Mbn hana chura?
Naomba kujua vizur kuhusu IVFKama ela ya kula tu ni mgogoro upaka ukope Talla na Branch basi hiyo IVF sahau kabisa wanaiweza kina Bashite wanaokula keki ya taifa.
Kwani yule mzee bado anazaa?Kumvalisha Pete ni jambo mmoja na Ndoa kujibu ni jambo jingine..
Awe makini tu kumfikisha kileleni asije kusaidiwa alf story za DNA zikaibuka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] yaaniDah kuna mwanamke anaenda kujitwishwa hilo zigo la mtu.... pole zake