Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

Bilionea nyc karudi na dola 500 baada ya miaka 35 toka US anawapasua vichwa.
 
Umekiona hicho Kibamia???
Ndio story ya mjini mkuu, Au upo mbali na mitandao ya kijamii wakati video ya kile kidole cha mtoto mchanga kilipoonekana katikati ya mapaja ya King, Yeye mwenyewe alikuwa very frustrated baaday ile video kuvuja...

Naamini nimejibu swali lako.

Karibu tena.
 
Kama ela ya kula tu ni mgogoro upaka ukope Talla na Branch basi hiyo IVF sahau kabisa wanaiweza kina Bashite wanaokula keki ya taifa.
Naomba kujua vizur kuhusu IVF
Nami ninufaike nao hao jamaa..
 
Back
Top Bottom