Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

Ivf ipo overated hapo mikocheni ni dolar 5000 tu.madawa unanunua mwenyewe na clinic unaenda za kawaida.ukijipeleka huko upewe kila kitu ni hela ndefu sana bila sababu.
Unajuwa kwamba dollar 5000 ni zaidi ya Tsh 10 million?
 
Huyo Mangi Kimambi kumbe yuko kote kote, hata kwenye mitusi pia, nilifikiri ni mwanahakati tu!
 
Kumvalisha Pete ni jambo mmoja na Ndoa kujibu ni jambo jingine..

Awe makini tu kumfikisha kileleni asije kusaidiwa alf story za DNA zikaibuka.
 
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.

Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA MANGE, kumbe wengi walifeli mtihani wa kuwa Mrs Lemutuz kwa kumuogopa dada wa taifa.
Nimecheka sana eti the woman of his dreams, hadi umri huo bado ana dream ?
 
weka kapicha tafadhali
Queen of all Bongo Social media
Screenshot_20180809-193237.png
 
Back
Top Bottom