Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

Lemutuz 'Mobimba nyee nyee' amvalisha mtu pete ya uchumba

- Thanks Boss, ninategemea kufunga ndoa in two weeks to come ila kama nilivyofanya engagement.

le Mutuz Superbrand
Hahahahaa....Mobimba....le mutuz nation,Unatisha Mkuu ...sijui kwanini watotot wakali wanakukimbilia tuu
Ndoa yako Lazima Social media zote ziirushe....U know
Ur the king...le super star...
Always Salute the Nation!
 
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.

Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA MANGE, kumbe wengi walifeli mtihani wa kuwa Mrs Lemutuz kwa kumuogopa dada wa taifa.
Kibamia kile vipi? Atavumilia kweli kamashine kale au itabidi asake jitu jingine LA mkunazi? After all Lemutuz kazeeka unaokewa na mwanaume Wa miaka 54 unategemea nini sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.

Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA MANGE, kumbe wengi walifeli mtihani wa kuwa Mrs Lemutuz kwa kumuogopa dada wa taifa.

Ndoa ilishabarikiwa tayari? Picha Please
 
Wale mliokuwa mnasubiri zali la kuwa queen of social media networks mmechelewa the king himself is now engaged to a woman of his dreams.

Wifi aliyepatikana kigezo chake kikubwa ni kuto MUOGOPA MANGE, kumbe wengi walifeli mtihani wa kuwa Mrs Lemutuz kwa kumuogopa dada wa taifa.

Libaba la miaka 65 , linataka kuoa msichana na kibamia chake na sasa linaumwa moyo, marehemu mtarajiwa
 
Apataye mke apata kitu chema!
Hongera sana kaka,
Mungu awajalie kudumu ktk kupendana na kuongezeka!
 
Back
Top Bottom