themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,033
- 3,720
NyenyeeLe mobimba nyenyenyee ... im humbled you know[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kama kuna kaukweli 😀😀😀😀Unaweza kukuta mgonjwa mwenyewe anafanya shooting ya maigizo Hospital.
Well saidTz nchi inayoongoza kwa kuwa na wanafki rukuki..
Ulianzia walikuwa kipindi dar wanaiita bandari salama, wakati inapitisha watumwa kwenda ughaibuni...Dar kwa unafiki!!...urafiki wao wa muda mrefu sijui ulianzia wapi!?
Inawezekana kaenda kumuona ila hawajapiga picha....na bora asiende kabisa kuliko kugoma kupiga picha na Le Mobimba