anauza mikoba na urembo ukitaka biashara hata wewe unaeza fanya nae
Hahahahaha si unasema tuu ni mzee mabebez le baharia ni big celebrity bongo u know hahaha
Michupi kama kaptura
Ila.mue pozi zake ru
Na hivi hana mwili wa nguo mmmmh
Mwenzangu yaani ni kichekesho!
Tuma.ta.ko twenyewe tumejikunyanta hovyo, tupaja twenyewe ndo hivyo mwenzangu na mie mradi tu naye kajitupia mtandaoni!
Hiv hua anadili gani UK huyu bibie,ana watoto??
Mwenzangu yaani ni kichekesho!
Tuma.ta.ko twenyewe tumejikunyanta hovyo, tupaja twenyewe ndo hivyo mwenzangu na mie mradi tu naye kajitupia mtandaoni!
Ana duka
Anauza hiyo michupi yake ova bukta
Hamjiamini ila anajianini
mmmh....anajiamini kweli. Ona viungo vilivyopinda lakini mwenzetu ye yupo mkujiachia tu!!!
Tangu lini umemwona kakata tamaa kwa kupondwa,kaforce u-celeb mpaka kaupata,si unaona HOD alianza kama yeye kumpromote diamond,kapondwa akaingia mitini sijui kafukuzwa kazi,ila lemutuz mpaka leo
Kumbe unamzungumzia le mutuz? Mi nikajua mbuta nanga maana ndiye niliyemuongelea!
Hahahahhha lemutuz ni celebrity mkubwa sana ana degree tatu!
mmmh....anajiamini kweli. Ona viungo vilivyopinda lakini mwenzetu ye yupo mkujiachia tu!!!
Kumbe unamzungumzia le mutuz? Mi nikajua mbuta nanga maana ndiye niliyemuongelea!
Hahahaha Dina lemutuz ni celebrity mkubwa Africa mashariki hivyo lazima abetue midomo kwa ishara ya furaha!
Halafu sijui kwanini hamuiti Mbuta mbebuzi mkaree?
Hii miguu mimi ningekua navaa nguo ndefu hayupo wa kuionaaaaa duuu mjapo sijaumba hii miguu ni nomaaaa