Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hahahaha Dina lemutuz ni celebrity mkubwa Africa mashariki hivyo lazima abetue midomo kwa ishara ya furaha!
Halafu sijui kwanini hamuiti Mbuta mbebuzi mkaree?
Le mutuz muoe mbuta nanga mnaendana sana...
Mkuu kwani Bibi Kizee si anaendana na Babu Kizee?
Hahahahaa!naona unamchokoza mkubwa mkubwa mno,
upo mumy?siku nyingi hatujakutana kona.
hahaaa@dinazardeYaan le mutuz anabetua mdomo khaaaa kweli ni celebritiy
hahaaa@dinazarde
Hiv wakuu huyu Lemutz anaweza kua na umri gani
Ni kijana mbichi tu sema ni ni.miraba minne tu u know
Mbichi is too subjectiv Dina hakosi umri wa kutulia huyu
Sometime huwa nawashukru wazungu kutuletea kondomu wanatuepusha mabalaa ya baadae,mfano mzee wake angetumia usiku ule angezaa hili lizezeta lisilojitambua?
Ni kijana mbichi tu sema ni ni.miraba minne tu u know
Hiv wakuu huyu Lemutz anaweza kua na umri gani
Hiv wakuu huyu Lemutz anaweza kua na umri gani