Tukubali tu Le mutuz ni bonge la Celebrities hata jamiiii looo nomaaaa sanaaaaaa
Hiv wakuu huyu Lemutz anaweza kua na umri gani
Wewe na mabebezi wa ukweli wale raha na naniiii??? Kumbuka mjini kila mtu baby u know
Watu wanajua kuchora katuni kweli, hivi kuna mtu ana umbo kama hili hapa duniani?
Nasikiaga ni classmate wa Mizengo Pinda u know......
Le Mutuz amekula sana bata mamtoni ndio maana hana sura ngumu kama ya Pinda.
Le baharia u know hana shida na mtu.
- Hahahahahahaha yaani wabebez mjini wanaita uso wangu baby face u know wewe unajisema mwenyewe lisrua lako kudadeki kama hukuzaliwa baby face sio kosa langu U know hahahahahahahaa
Le Big Show
- Tarehe 22/11/2014 Yamoto Band Vs Skylight kimenuka by Le Mutuz Nation U know
Le Mutuz
Mbona kuna mtu humu alisema kuwa uongozi wa skylight hauna taarifa hii?
Le baharia...natamani kuiona video clip uliorecordiwa na Jestina!u r so sexy u knw!
ecela Today 12:10Nasikiaga ni classmate wa Mizengo Pinda u know......
Le Mutuz amekula sana bata mamtoni ndio maana hana sura ngumu kama ya Pinda.
- Jestina ni mke wa rafiki yangu sana wa karibu Mamen Meru sina tabia ya kurukia wake za watu wabebez wote hawa mjini why nirukie mke wa mtu?
Le Mutuz
Sijawahi ona janaume jinga kama hili!!!!!!
Doooh! Watake radhi wanawake wenzako wanaomzimikia
Kwa hiyo wanakusingizia jamaniii....!!!? lol
Kwa hiyo wanakusingizia jamaniii....!!!? lol
Hahahahaha watakuwa wana msingizia sidhani kama Le baharia anavyo zimikiwa na Mabebez wengi hivyo anaweza piga hiyo kitu hahaha