Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
- Jestina ni mke wa rafiki yangu sana wa karibu Mamen Meru sina tabia ya kurukia wake za watu wabebez wote hawa mjini why nirukie mke wa mtu?
Le Mutuz
Kwa hiyo Hamna ugomvi kati yenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Jestina ni mke wa rafiki yangu sana wa karibu Mamen Meru sina tabia ya kurukia wake za watu wabebez wote hawa mjini why nirukie mke wa mtu?
Le Mutuz
Kwa hiyo Hamna ugomvi kati yenu?
- Yaani kweli hujaona picha nikiwa Zanzibar na Jestina kwa wakwe zake na nikiwa Dar na Mamen Meru? please ugomvi na nani juzi nilikuwa Escape 1 na Jestina au wapo 2 nini?
Le Mutuz
View attachment 193573View attachment 193575
Ha ha ha nimecheka sana super Dupa Le Mutuz,,,u kno mzee wa mabebez kama mbelez
Huyu mbuta nanga nae na hizo chupi zake kama bambino....duh bora akavaa tu kaptura aiseee!
Kipindi kabla kigogo na lemutuz hawajaasi JFNjooni
Hawakosi humu hao,sema wapo kwa majina mengine.Kipindi kabla kigogo na lemutuz hawajaasi JF
- Umeona The King of All Bongo Social Media Network Le Big Show hahahahahahahahahahaha I love it U know
Le Big Show
Mbona nasikia Le mutuz ni mgonjwa, spana mkononi gari la mkaa!! safari kazi safari gereji .Hawakosi humu hao,sema wapo kwa majina mengine.
Kiswahili siyo fani yake anasema yeye ni mtu wa nyambizi
Kama mjini Instagram hakosi,humu hawezi kosa pia japokuwa afya yake haijatengamaa.Mbona nasikia Le mutuz ni mgonjwa, spana mkononi gari la mkaa!! safari kazi safari gereji .
Aliukalia huyu demu inavyoonyeshaWe umejuaje?
Qumerniner zakoSometime huwa nawashukru wazungu kutuletea kondomu wanatuepusha mabalaa ya baadae,mfano mzee wake angetumia usiku ule angezaa hili lizezeta lisilojitambua?