Lemutuz na instagram

Lemutuz na instagram

Status
Not open for further replies.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Huko Instagram hapatoshi. Ni mapambano makali kati ya Lemutuz na Teams mbalimbali. @ WILLIAM MALECELA huoni kama hivyo vita vya panya unavyo pambana, vitakuharibia kwenye mbio zako za kugombea ubunge wa jimbo la Mtera mwaka 2015. Kuna jamaa huko Insta anajiita " SHATI LA LEMUTUZ LINATOSHA KUFUNIKA STARLET".
 
Bila kujali kama amekosewa au la, cjapenda namna alvojibu pale alipokua akihojiwa na clouds, yana anajigamba as if serikali ni yake.
 
the king of all social media Lemutuz
 
Yule jamaa ni manic! Kwa umri wake hayo matendo ni wehu! Ila ndio tofauti zetu. Huyo ni mtoto wa mtu aliye tajiri ambaye amepata kila alichonacho kwa jina la baba yake, lakini ambaye akili yake ni kama hakuwahi kupata malezi ya wazee katika jamii ya kitanzania.
 
Huko Instagram hapatoshi. Ni mapambano makali kati ya Lemutuz na Teams mbalimbali. @ WILLIAM MALECELA huoni kama hivyo vita vya panya unavyo pambana, vitakuharibia kwenye mbio zako za kugombea ubunge wa jimbo la Mtera mwaka 2015. Kuna jamaa huko Insta anajiita " SHATI LA LEMUTUZ LINATOSHA KUFUNIKA STARLET".

hahahahahahahaha you know the le bilionea hahahaha you know the le mbulula
 
Jina lake halisi ni nani huyo lemUTUZ
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom