Lemutuz on Clouds Tv

Huyo mzee mange kampa kiki maana ya fujo zao inta zianze nimeona akiitwa kwenye interview nyingi sana,sababu ya upuuzi wao...ni aibu zee kama hili kupata interview za vyombo vya habari.kwa kiki za kipuuzi....nlitegemea zee kama hili liitwe kwa kufanya ishu za maana lakini vituo vya habari vinamuita kwa ajili ya bifu lao na mange
 
naangalia mahojiano ya zamaradi na le mutuz clouds tv now.. le mutuz kaulizwa swali kuhusu watotot wake ambao wako kwa ex wife wake.. nanukuu

zamaradi: so unajihisi kama huna watoto au?

mutuz: no, they are my child..

duuh kwel kingereza hakiangalii mwili mkubwa,we mtu bonge la mtu kama le mutuza lakini ngeli inampiga chenga hahahahaha nipeni namba za ras simba
 
Common mistakes za wa TZ wengi
Mwanamke tunaita 'women'
au mtu anataka kusema quiet anasema quite ....
 
singular ...plural siku ya topic hiyo hakuwepo class
 
Dah,nadhan tv yako n chogo ila amejibu
They are my kids kwa mujibu ya tv yangu ya flat screen

Acha kupotosha
 
Ana degree 3 tofauti huyo
W. J. Malecela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…