Lemutuz on Clouds Tv

Achaga kuona wivu juu ya maendeleo ya wenzakooo I hate this spirit!!
 
Au ungetak amalizie children ndo uridhike
 
Ila habari kama hizo ndio zinapendwa na hivi vyombo vyetu vya habari na hadhira pia
Angalia vipindi vya intellectuals uone kama ni maarufu kama hivi na hata hao waandaaji hawana uthubutu wa kualika wasomi.! Watawahoji nini?
 
Dah,nadhan tv yako n chogo ila amejibu
They are my kids kwa mujibu ya tv yangu ya flat screen

Acha kupotosha
Le Mutuz anaonekana ndo hajui kizungu kumbe wenyewe ndo "hawajui!" Tena "Mmarekani" Le Mutuz atamke children/child wakati Wamarekani wenzake wanatumia kids/kid! Wezangu mimi waliposikia kids wakadhani child!
 

Alisema X WIFE wake ndo wanamletea bifu sana ww pia ni moja wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…