kyanaKyoMuhaya
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,952
- 938
Bojo Kazilo.... Teh teh!Teh Teh
Naija kukukoma....
Hahahahah
Upo miss u
- Huwa nawaza pesa ndio maana leo nimesaini mkataba mpya na AccessBank na kesho naenda kusaiini mkataba mpya na Movers wanaosimamia kumbi mpya wa kimataifa pale Millenium Towers so haya makelele ni good for me and my business
Le Mutuz
Alafu bado unakaa kwenye kiota down town, kwa nini kwa mikataba unayosign na mijihela unayodai unamake usiishi sehemu decent kama watu wengine wenye pesa wanapoishi unaishia kujambiana ushuzi na wahindi walala hoi, # i dont understand you know #Tiririkaaaaaaa
Ila inataka moyo sana,tena moyo wa chuma....kwa hizi picha za kupiga akiwa na wadada inawezekena kweli jamaa ni kuwadi mzuri tu....
Le mutuz nawezaje kumpata k lyin awe my wife
- KYLyn ni muke ya rafiki yangu sana Mzee Mengi so kuwa na heshima kidogo mkuu!!
Le Mutuz
- Maisha ya Majuu yalinifundisha kukaa kwenye apartment, ningetaka kwa hela zote nilizotumia kukarabati Apartment ninayoishi sasa hivi ningezitumia kumalizia nyumba yangu Kinyerezi nikaishi kule na hata kama ningekuwa na shida ya kuishi kwenye nyumba ningehamia kule au ningeenedelea kushi nyumba ya baba yangu, hapa mjini ninapoishi ninaishi karibu na watu wengi wenye pesa kubwa hapa mjini wasiopenda kuishi nje ya mji,
- Eti ninakaa kwenye kiota? are serious au unatania 3 bedroom apartment inayouzwa Dola za Marekani Laki tatu unasema ni kiota na kwenye jengo jipya kama ninaloishi hapa town, please hahahahahahah
Le Mutuz
Watu walikuwa wakimtukana le mutuz humu JF, ila sasa gadem le mburulazz wanamkubaliz u know, hahahahahhaha
- Maisha ya Majuu yalinifundisha kukaa kwenye apartment, ningetaka kwa hela zote nilizotumia kukarabati Apartment ninayoishi sasa hivi ningezitumia kumalizia nyumba yangu Kinyerezi nikaishi kule na hata kama ningekuwa na shida ya kuishi kwenye nyumba ningehamia kule au ningeenedelea kushi nyumba ya baba yangu, hapa mjini ninapoishi ninaishi karibu na watu wengi wenye pesa kubwa hapa mjini wasiopenda kuishi nje ya mji,
- Eti ninakaa kwenye kiota? are serious au unatania 3 bedroom apartment inayouzwa Dola za Marekani Laki tatu unasema ni kiota na kwenye jengo jipya kama ninaloishi hapa town, please hahahahahahah
Le Mutuz
Tunaomba upige japo picha hilo jengo jipya unalosema tulione, manake nyumba ya national housing kama hicho kiota chako cha chumba kimoja haizidi hata laki kwa mwezi so bro acha kupiga kelele, niambie tajiri gani anayeishi kwenye kiota kama chako hapa bongo haha pole