Lengai ole Sabaya akutwa na ukwasi wa Tsh. Bilioni 3 baada ya kupekuliwa

Usomi wangu ni zaidi ya usomi was ukoo wako wote ndio maana huwezi kunielewa!
Sasa huo usomi unakusadia nini wakati makonda na vyeti vya kuunga ila wanamsema bilionea, ila pia waweza kua msomi ila ujaelimika
 
Alitumia madaraka yake vibaya sana, kutumia silaha za moto kuwatisha wafanyabiashara wampe mamilioni, hizo mali zake zinatakiwa kutaifishwa wakati yeye akienda gerezani.
Duuuuu lakini alipokua madrakani mlikua kimya
 
Miiko ya uongozi ipo wazi, lakini yawezekana walitumia madaraka vibaya sababu ya kujiona wapo juu sheria.
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi anavyoiga namna ya uongeaji nabaki hoi. Anakuwa serious kabisa, na kukunja pua..! Huyu jamaa kiboko kwa kuiga [emoji41] Hapo ndio anaona amekuwa bonge la kiongozi?!
 
Reactions: BAK
Utakuwa mmoja kati ya wale walinzi wa Sabaya, rudi shambani kalime.
Hapa Hai bilioni unazipataje?, tumewekeza sehemu zote muhimu, -kupandisha watalii MT. Kilimanjaro, migahawa, hotel za kulala watalii, mashamba ya kahawa, shule na majumuisho hayafiki 100 milion kwa mwezi, na hakuna mwenye billion anaishi na kufanya biashara Hai.

Unazipataje? Wenyeji tunajuana sana na hata kama hauishi Hai ukiwa tajiri tutajua.
 
Dah hilo gazeti nalo wameamua kutumia picha yake anayolia jicho moja🤔 kwamba hamna picha zake zingine?ukorofi tu😜
 
Alitumia madaraka yake vibaya sana, kutumia silaha za moto kuwatisha wafanyabiashara wampe mamilioni, hizo mali zake zinatakiwa kutaifishwa wakati yeye akienda gerezani.
🤯🤯🤯🤯
 
We jamaa ni bure sana
Iyo hai igawanywe mara tano yani angekuwa tu anamiliki kata moja bado ubilionea siyo wa kuhoji kwa huyo jamaa ni vile tu hujui mambo yanafanyika vp
 
Ccm haina cha kumfanya Sabaya
Adhabu kubwa waliyoweza kumpa ni kumnyang'anya tu u DC na pia usishangae akakwaa nafasi nyingine kubwa zaidi huko baadae hiyo ndiyo ccm
 
Wabongo kwa viroja, akiulizwa hapo usikute akasema utajiri wake umetokana na ng'ombe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…