Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
Kwanza lazima akutwe na HATIA, na tayari mfumo umemtema moja kwa moja...Hivi kwa mtu kama huyu awez tena kuajiriwa serikali au Inakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza lazima akutwe na HATIA, na tayari mfumo umemtema moja kwa moja...Hivi kwa mtu kama huyu awez tena kuajiriwa serikali au Inakuwaje
Siyo kweliNgoja afande Hamduni aapishwe!
Hebu tulio nje kwa sasa tupe screen shot ya Hilo gazeti au ukiweza makala nzima ili tuweze kuchangia
Hilo gazeti limekuwa msemaji wa polisi/takukuru na hata wa bandari mlipayuka hivi hivi, hilo gazeti la kufungia utumbo tu na hawa ndio waandishi Haji Manara anawaita taka taka tu.Gazeti la Raia Mwema la jumamosi, 15 May 2021 limeripoti kuwa DC aliyefurushwa huko Hai, Lengai Ole Sabaya (34) amepekuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kukutwa na ukwasi wa zaidi ya TZS 3 Bilioni. Kwa mujibu wa gazeti hilo baadhi ya fedha zimekutwa nyumbani kwake na nyingine kwenye taasisi mbalimbali za fedha.!
mambo vp sabaya...ujue mda wako ndo umefika hivyo..muosha huoshwaHii itakuwa chai kama chai zingine!!?
alafu wazushi wanapenda kweli bilioni 3
Kakonko alizushiwa B3!!?
sema yenyewe waliweka kwenye Dola
Screenshotisha huo ukurasa wa 4 achana na kichwa cha habari cha jumla hiki
we babako amekupeleka pazuri kuendelea na umbea huuMagufuli aliipeleka hii nchi pabaya sana
Kwani wewe unajua amekutwa na shilingi ngapi?Hilo gazeti limekuwa msemaji wa polisi/takukuru na hata wa bandari mlipayuka hivi hivi, hilo gazeti la kufungia utumbo tu na hawa ndio waandishi Haji Manara anawaita taka taka tu.
Unaumia ukiwa Hai nadhaniHilo gazeti limekuwa msemaji wa polisi/takukuru na hata wa bandari mlipayuka hivi hivi, hilo gazeti la kufungia utumbo tu na hawa ndio waandishi Haji Manara anawaita taka taka tu.
Apekuliwe kwani yuko chini ya ulinzi? Pambafu nyumbu nyie.Gazeti la Raia Mwema la jumamosi, 15 May 2021 limeripoti kuwa DC aliyefurushwa huko Hai, Lengai Ole Sabaya (34) amepekuliwa na vyombo vya ulinzi na usalama na kukutwa na ukwasi wa zaidi ya TZS 3 Bilioni. Kwa mujibu wa gazeti hilo baadhi ya fedha zimekutwa nyumbani kwake na nyingine kwenye taasisi mbalimbali za fedha.!